Pemba kunahitajika zaidi elimu ya uzazi wa mpango, Watoto wanateseka

Pemba kunahitajika zaidi elimu ya uzazi wa mpango, Watoto wanateseka

yani mwanamke ana watoto wanne wewe unaona tatizo? mbona munaathirika vibaya na umgaharibi kiasi hicho wakuu, mimi nahisi wewe ndio wakusikitiwa na kuonewa huruma. alafu ni mwanamme kabisa dah
Wamagharibi wenyewe wameanzisha sera za kuhimiza watu wazaliane. Huyu hajui chochote.
 
View attachment 3119663


Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba.

Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili.

Hivi unaweza kujiuliza kwa karne hii na uchumi tuliokuwa nao kuna Mwanamke anazaa watoto Wanne, Watano na hata Sita huku akiwa hajafika hata miaka 30.

Wacha nikusanue kidogo nilipokuwa Pemba nilitembea mitaani na nilichokigundua kuwa Wanawake wengi hawajui chochote kuhusu uzazi wa mpango, hawajui hata mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.


View attachment 3119664

Kwa wale wachache ambao wanauelewa kuhusu uzazi wa Mpango na faida zake anakumbana na mitazamo potofu ya watu wanaomzunguka kwamba hana uwelewa wa masuala ya Dini.

Nilipokuwa Pale Wawi ndio nilichoka zaidi nilikutana na Mama ana mimba, amembeba mtoto hajafika hata miaka 2 lakini mkononi anamtoto mwingine ambae kwa kukisia ana miaka Mitatu au Minne.

Nipomhadisia mwenyeji wangu aliniambia mbona ni jambo la kawaida tuu akanieleza kwamba huku unaweza kuona mama na binti yake wanakutana labor.


Anasema kuwa Mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba kabla hajakaa sawa bint yake ana mimba sasa hapo unakuta mama ananyonyesha na binti yake ananyonyesha.

Mjomba na Mpwa wake wanaumri sawa au Mpwa mkubwa kuliko Mjomba hata ile heshima tena inakuwa haipo tena.

Naiomba Serikali na hataa Mashirika binafsi kuongeza nguvu katika kutoa Elimu ya umuhimu wa Uzazi wa Mpango

Sheria itungwe juu ukomo wa kuzaa

Serikali iangalie kwa jicho la pekee kisiwa cha Pemba na kuongeza kasi ya kukifungua Kisiwa cha Pemba kiuchumi ili watu wawe na shughuli za kufanya na kuacha kuingia mdani mapema na kufyatua Watoto.

Picha kwa Hisani ya Mitandao ya Kijamii, BBC na ripoti juu ya Uzazi wa Mpango
View attachment 3119666
Lakini mkuu, Hao watoto waliofatana sana wanakuwa na afya njema au afya ziko migogoro?

Kama afya zao ziko vzr kwa maana ya kwamba wazazi wao wanamudu kuwatunza hiyo siyo shida sana kwa upande wao.

Pia KE wa 30yrs kuwa na watoto wanne inawezekana pia madaam tu pesa na muda wa kuwalea upo.
 
Unaelewa lengo la uzazi wa mpango?

Unaelewa madhara yaletwayo na njia za uzazi wa mpango (ukiacha calendar na condoms)?

Unaelewa nini kuhusu menstruation cycle na factors zinazoiathiri?

Unajua kwamba njia pekee salama na ya uhakika na abstaining tu?

Anyways, ndugu mwandishi wa habari ahsante kwa mtazamo wako. Jifunze zaidi.
 
Watanzania mmekuwa wapumbavu sana.

Wengi wenu mmelelewa kwenye zile familia zenye watoto wengi vijijini ila baada ya kuja mjini na kusoma kidogo sasa mnaanza kuona wazazi wenu wajinga

Ieleweke kwa Africa mtoto ni Mali, maskini asiye na mali aijivunie nini kama sio watoto watakaokuja kumsaidia yeye?

Western culture imewaharibu ssna huwezi kunipangia watoto wa kuwazaa sababu sijawahi kuja kukuomba unisaidie kuwalea.
 
Huo ni mkakati wa wapemba miaka nenda rudi
Wapemba ukiwa na mke tu ndg jamaa jamii ukiwa na mtoto mmoja wanakushangaa,

Ova
 
Mi naona hakuna tatizo kwa Mama na Binti yake kukutana leba,tatizo lingekuwa huyo Mama akutane na Mtoto wake wa kiume huko leba ndiyo ingekuwa miujiza.
 
Siyo wapemba tu, hata Watanganyika nao si haba. Nenda usukumani na Kanda ya ziwa yote kiujumla, ndiyo utajua hujui.
 
I wish nyie ambao mnaponda hoja ya jamaa hapa

mngewaona hao wanawake jinsi wanatia huruma

unakuta mama ana mtoto mgongoni uku ana mimba ukizingatia muda huo dogo ana afya mbaya sana pia unakuta mama afya yake sio imara

dogo analia kila baada ya muda .....uko ndipo niliambiwa maana ya kubemenda mtoto
 
Tatizo sio Kuzaa, tatizo hali ya Uchumi kisiwani Pemba ni ngumu sana huyo Mwenye Watoto Wanne hawana Matunzo kabisa

mkuu usiumie na wapemba, wengi wao wamezaliwa kwenye umaskini na leo ni mamilionea, jamaa wanatoboa sana kimaisha.
 
View attachment 3119663


Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba.

Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili.

Hivi unaweza kujiuliza kwa karne hii na uchumi tuliokuwa nao kuna Mwanamke anazaa watoto Wanne, Watano na hata Sita huku akiwa hajafika hata miaka 30.

Wacha nikusanue kidogo nilipokuwa Pemba nilitembea mitaani na nilichokigundua kuwa Wanawake wengi hawajui chochote kuhusu uzazi wa mpango, hawajui hata mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.


View attachment 3119664

Kwa wale wachache ambao wanauelewa kuhusu uzazi wa Mpango na faida zake anakumbana na mitazamo potofu ya watu wanaomzunguka kwamba hana uwelewa wa masuala ya Dini.

Nilipokuwa Pale Wawi ndio nilichoka zaidi nilikutana na Mama ana mimba, amembeba mtoto hajafika hata miaka 2 lakini mkononi anamtoto mwingine ambae kwa kukisia ana miaka Mitatu au Minne.

Nipomhadisia mwenyeji wangu aliniambia mbona ni jambo la kawaida tuu akanieleza kwamba huku unaweza kuona mama na binti yake wanakutana labor.


Anasema kuwa Mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba kabla hajakaa sawa bint yake ana mimba sasa hapo unakuta mama ananyonyesha na binti yake ananyonyesha.

Mjomba na Mpwa wake wanaumri sawa au Mpwa mkubwa kuliko Mjomba hata ile heshima tena inakuwa haipo tena.

Naiomba Serikali na hataa Mashirika binafsi kuongeza nguvu katika kutoa Elimu ya umuhimu wa Uzazi wa Mpango

Sheria itungwe juu ukomo wa kuzaa

Serikali iangalie kwa jicho la pekee kisiwa cha Pemba na kuongeza kasi ya kukifungua Kisiwa cha Pemba kiuchumi ili watu wawe na shughuli za kufanya na kuacha kuingia mdani mapema na kufyatua Watoto.

Picha kwa Hisani ya Mitandao ya Kijamii, BBC na ripoti juu ya Uzazi wa Mpango
View attachment 3119666
SULUHISHO:
1. Wanawake wagawiwe condom wanaponunua PEDI.
2. Wanaume wao wafunzwe njia za asili kama kumwagia nje.
3 . Wanawake wao waache kufinyia ndani.
 
Watakuambia hangaika na mambo ya nchi yako, ya Zanzibar waachie Wazanzibari
 
View attachment 3119663


Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba.

Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili.

Hivi unaweza kujiuliza kwa karne hii na uchumi tuliokuwa nao kuna Mwanamke anazaa watoto Wanne, Watano na hata Sita huku akiwa hajafika hata miaka 30.

Wacha nikusanue kidogo nilipokuwa Pemba nilitembea mitaani na nilichokigundua kuwa Wanawake wengi hawajui chochote kuhusu uzazi wa mpango, hawajui hata mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.


View attachment 3119664

Kwa wale wachache ambao wanauelewa kuhusu uzazi wa Mpango na faida zake anakumbana na mitazamo potofu ya watu wanaomzunguka kwamba hana uwelewa wa masuala ya Dini.

Nilipokuwa Pale Wawi ndio nilichoka zaidi nilikutana na Mama ana mimba, amembeba mtoto hajafika hata miaka 2 lakini mkononi anamtoto mwingine ambae kwa kukisia ana miaka Mitatu au Minne.

Nipomhadisia mwenyeji wangu aliniambia mbona ni jambo la kawaida tuu akanieleza kwamba huku unaweza kuona mama na binti yake wanakutana labor.


Anasema kuwa Mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba kabla hajakaa sawa bint yake ana mimba sasa hapo unakuta mama ananyonyesha na binti yake ananyonyesha.

Mjomba na Mpwa wake wanaumri sawa au Mpwa mkubwa kuliko Mjomba hata ile heshima tena inakuwa haipo tena.

Naiomba Serikali na hataa Mashirika binafsi kuongeza nguvu katika kutoa Elimu ya umuhimu wa Uzazi wa Mpango

Sheria itungwe juu ukomo wa kuzaa

Serikali iangalie kwa jicho la pekee kisiwa cha Pemba na kuongeza kasi ya kukifungua Kisiwa cha Pemba kiuchumi ili watu wawe na shughuli za kufanya na kuacha kuingia mdani mapema na kufyatua Watoto.

Picha kwa Hisani ya Mitandao ya Kijamii, BBC na ripoti juu ya Uzazi wa Mpango
View attachment 3119666
Jamaa wanawaza kuzaliana tu, wakiamini idadi ya watoto ndio utajiri.
 

pemba kuna ndoa za utotoni nyingi na serial marriage.. alafu risk factor nyingine pemba mwanamke ni mtu wa kukaa nyumbani. Ogopa sana factor hizo hapo
 
Unashangaa pemba?
Mimi kuna dada yangu mtoto wa ma mdogo ana mvua 33 na ana watoto 10. Hajawahi kuzaa mapacha
 
View attachment 3119663


Naandika andiko hili fupi nikiwa Unguja - Zanzibar baada ya safari ya takribani Wiki Mbili nikiwa kisiwani Pemba.

Mimi ni Mwandishi wa habari na nimepata bahati ya kutembelea maeneo mengi Tanzania bara na Visiwani ila nilichokikuta Pemba bado kinanijastaajabisha hadi sasa naandika andiko hili.

Hivi unaweza kujiuliza kwa karne hii na uchumi tuliokuwa nao kuna Mwanamke anazaa watoto Wanne, Watano na hata Sita huku akiwa hajafika hata miaka 30.

Wacha nikusanue kidogo nilipokuwa Pemba nilitembea mitaani na nilichokigundua kuwa Wanawake wengi hawajui chochote kuhusu uzazi wa mpango, hawajui hata mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.


View attachment 3119664

Kwa wale wachache ambao wanauelewa kuhusu uzazi wa Mpango na faida zake anakumbana na mitazamo potofu ya watu wanaomzunguka kwamba hana uwelewa wa masuala ya Dini.

Nilipokuwa Pale Wawi ndio nilichoka zaidi nilikutana na Mama ana mimba, amembeba mtoto hajafika hata miaka 2 lakini mkononi anamtoto mwingine ambae kwa kukisia ana miaka Mitatu au Minne.

Nipomhadisia mwenyeji wangu aliniambia mbona ni jambo la kawaida tuu akanieleza kwamba huku unaweza kuona mama na binti yake wanakutana labor.


Anasema kuwa Mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba kabla hajakaa sawa bint yake ana mimba sasa hapo unakuta mama ananyonyesha na binti yake ananyonyesha.

Mjomba na Mpwa wake wanaumri sawa au Mpwa mkubwa kuliko Mjomba hata ile heshima tena inakuwa haipo tena.

Naiomba Serikali na hataa Mashirika binafsi kuongeza nguvu katika kutoa Elimu ya umuhimu wa Uzazi wa Mpango

Sheria itungwe juu ukomo wa kuzaa

Serikali iangalie kwa jicho la pekee kisiwa cha Pemba na kuongeza kasi ya kukifungua Kisiwa cha Pemba kiuchumi ili watu wawe na shughuli za kufanya na kuacha kuingia mdani mapema na kufyatua Watoto.

Picha kwa Hisani ya Mitandao ya Kijamii, BBC na ripoti juu ya Uzazi wa Mpango
View attachment 3119666
Mbona sioni shida ndugu mdau, kwani wenyewe wamelalamika?
 
Back
Top Bottom