duh! ikiwa watu wanapelekewa ulinzi siku za kujiandikisha na siku za uchaguzi tu,tena wanavuka bahari.. sijui wale mapolisi wa znz hawatoshi au vipi.. Na sijui ni hakki hiyo? na sijui kama hapo pana democracy? basi ccm watangaze tu kuwa tunarudisha mfumo wa chama kimoja,bora kuliko kuwanyanyasa watu kama hivi kwa hakki yao.. Juzi kuna muandishi mmoja alitaka kumhoji sheha na baadhi yaa waandikishaji ktk kituo kimoja alivomkaribia sheha akaambiwa haturuhusiwi kuongea na mtu yeyote hapa,mwandishi akauliza kwa nini,akaambiwa angalia pale pembeni,tumepewa maagizo na wale usalama wa taifa tusiongee kitu,na wale usalama wanatoka bara.. sasa sijui kule hakuna serikali au ndo ile ahadi aliyoitoa Kikwete wakati alivokwenda znz akafanya mkutano kibanda maiti akasema,TUTAYALINDA MAPINDUZI YETU KWA GHARAMA YOYOTE NA ATAKAECHEZEA MAPINDUZI ATAKIONA...
wanaokejeli wana dhimma kubwa sana siku ya mwisho.. mimi nashanga nikiona wananchi wa znz wanasikitika wakiona ndugu zao wa bara wanaponyanyasika,lkn wa bara wana wa kejeli.. inauma sana. siku utakayokataliwa wewe kupiga kura hapo ndo utajua uchngu wake,au atakapouliwa mtu wako wa karibu tena hana kosa lolote,Mungu akuepushie mbali na hayo..