Penati Ilivyoota Mbawa

Penati Ilivyoota Mbawa

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
13347008_1722742834647433_7794633529379038523_n.jpg
 
Sio tu Samatta avunjaa kioo posta, ila pia ajeruhi watu waliokuwa kwa ofisi hiyo ya posta!
 
nilikua nasikiliza mpira redioni nilimsikia mtangazaji akisema kwa sauti"Maaweeeeee" alafu kimya kikatawala nikaamua kuzima redio jumla!
 
Temeke hadi Ilala(Posta)duh,kweli iyo ni ya mwendo kasi.
 
Na hakuna mtu au chombo cha habari kilichokosoa hadharani upigaji ule wa penalti wa kizembe, dharau na majivuno
Eti bwana eeh! ....hata mimi naona kama jamaa aliichukulia poa! Hakukanyaga nyasi vizuri pale alipoweka mpira, huku alitaka kufunga nyavu za juu!!!
 
Eti bwana eeh! ....hata mimi naona kama jamaa aliichukulia poa! Hakukanyaga nyasi vizuri pale alipoweka mpira, huku alitaka kufunga nyavu za juu!!!
Kukosa penati hiyo kuliwatoa wachezaji mchezoni huku mashabiki wakinyong'onyea maana walishindwa kuamini aliyepiga ni Samatta au Abdi Kassim (Barrack wa Unguja aliyekuwa anapiga penati Kizenji)!
 
Back
Top Bottom