Penati kakosa Kagere mbona Yanga mnaumia?

Penati kakosa Kagere mbona Yanga mnaumia?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Nimechunguza Kagere alivyokosa pigo la mwisho la penati wengi wanaolaumu na kudhihaki ni wapenzi, mashabiki halikadhalika na viongozi wa yanga kuliko singida wenyewe.

Yanga walishasema hawakuwekeza nguvu sana kwenye hiyo michuano, walichukulia kama mazoezi na kuangalia wachezaji wao wale wasiocheza kikosi cha kwanza.

Lakini cha ajabu jana wamekasirika hao na ndio wengi wenye kumshushia lawama kagere.

Tukubali tu ile ni sehemu ya mchezo alikuwa na mawazo mawili kupiga shuti au kufunga kimadoido ghafla ganzi ndicho kilichotokea!

Kwanini penati akose kagere waumie yanga mlikuwa na maslahi gani na ushindi wa singida!

FB_IMG_1704947720536.jpg
 
Nimechunguza Kagere alivyokosa pigo la mwisho la penati wengi wanaolaumu na kudhihaki ni wapenzi, mashabiki halikadhalika na viongozi wa yanga kuliko singida wenyewe.

Yanga walishasema hawakuwekeza nguvu sana kwenye hiyo michuano, walichukulia kama mazoezi na kuangalia wachezaji wao wale wasiocheza kikosi cha kwanza.

Lakini cha ajabu jana wamekasirika hao na ndio wengi wenye kumshushia lawama kagere.

Tukubali tu ile ni sehemu ya mchezo alikuwa na mawazo mawili kupiga shuti au kufunga kimadoido ghafla ganzi ndicho kilichotokea!

Kwanini penati akose kagere waumie yanga mlikuwa na maslahi gani na ushindi wa singida!

View attachment 2868006
Yanga walishasema hawakuwekeza nguvu sana kwenye hiyo michuano, walichukulia kama mazoezi na kuangalia wachezaji wao wale wasiocheza kikosi cha kwanza.

Lakini cha ajabu jana wamekasirika hao na ndio wengi wenye kumshushia lawama kagere.[emoji23]

Ulishawahi kuwaamini yanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona hawasema kenedy juma ana mapenzi na singida?
bahat mbaya ya kenedy kuwapa goli singida ndio bahat mbaya ya kagere kukosea panenka.... swala la refa simba ndio waathirika zaidi maana wamenyimwa penati 2, refa aliwadekeza sana singida ndio maana hata baada ya kumzonga sana alishindwa hata kuwapa kadi ili wamuheshimu..... malalamiko na lawama haziwasaidii, kama mlitolewa na apr lieni naa apr
 
Yanga walishasema hawakuwekeza nguvu sana kwenye hiyo michuano, walichukulia kama mazoezi na kuangalia wachezaji wao wale wasiocheza kikosi cha kwanza.

Lakini cha ajabu jana wamekasirika hao na ndio wengi wenye kumshushia lawama kagere.[emoji23]

Ulishawahi kuwaamini yanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aah wapi msemaji anasema kama kuna mtu amesema tumemkimbia apeleke barua mbungi lipigwe aina ya watu hao ukiwachukulia dhamana unafungwa kweupeee mahakama ya kisutu!
 
Nimechunguza Kagere alivyokosa pigo la mwisho la penati wengi wanaolaumu na kudhihaki ni wapenzi, mashabiki halikadhalika na viongozi wa yanga kuliko singida wenyewe.

Yanga walishasema hawakuwekeza nguvu sana kwenye hiyo michuano, walichukulia kama mazoezi na kuangalia wachezaji wao wale wasiocheza kikosi cha kwanza.

Lakini cha ajabu jana wamekasirika hao na ndio wengi wenye kumshushia lawama kagere.

Tukubali tu ile ni sehemu ya mchezo alikuwa na mawazo mawili kupiga shuti au kufunga kimadoido ghafla ganzi ndicho kilichotokea!

Kwanini penati akose kagere waumie yanga mlikuwa na maslahi gani na ushindi wa singida!

View attachment 2868006
Ila kwa umri wa miaka 43 lazima mwili ugome kutekeleza maamuzi ya akili.
 
Na yule kipa wa Singida aulizwe aliacha mpira wa Ngoma uingie anauangalia tuu..msimshupalie Kagere
 
Simba ilikuwa inacheza ile mechi na timu tatu kwa wakati mmoja.
YAANI:

SIMBA vs SINGIDA, AZAM NA YANGA lakini mechi ni moja.
 
mbona hawasema kenedy juma ana mapenzi na singida?
bahat mbaya ya kenedy kuwapa goli singida ndio bahat mbaya ya kagere kukosea panenka.... swala la refa simba ndio waathirika zaidi maana wamenyimwa penati 2, refa aliwadekeza sana singida ndio maana hata baada ya kumzonga sana alishindwa hata kuwapa kadi ili wamuheshimu..... malalamiko na lawama haziwasaidii, kama mlitolewa na apr lieni naa apr
Eti panenka?? Pale Kuna panenka Gani sasa?
 
Back
Top Bottom