Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Ronaldo yupi? Kuna yule mbrazili na yule mmorocco mwenye asili ya Ureno.messi si mbinafsi ndo mana Mungu nae anampa na kumfanya bora zaidi kuliko ronaldo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ronaldo yupi? Kuna yule mbrazili na yule mmorocco mwenye asili ya Ureno.messi si mbinafsi ndo mana Mungu nae anampa na kumfanya bora zaidi kuliko ronaldo
Hakuna striker asiye na tamaa au uchu wa kufunga!!! Huo ni mpango wa kuendelea kumweka suarez mbele kwenye magoli!!! Infact binafsi nimependa mipango yao...Huyu jamaa kwakweli sijapata kuona ktk wachezaji bora waliopita na wa sasa kwa nidhamu na n.k...ni mchezaji mwenye sifa nzuri mno wa kuigwa, hana Majivuno ni mstaarabu,mpole na asiependa shari na kikubwa zaidi yeye ni mtu asiekuwa na tamaa ya kufunga,
hii style nilishaifanya sana utotoni ktk mechi za mchangani,kilichokuwa kinanifurahisha ilikuwa jinsi timu pinzani zinavyobisha tukiwafunga style hiyo
Hakuna striker asiye na tamaa au uchu wa kufunga!!! Huo ni mpango wa kuendelea kumweka suarez mbele kwenye magoli!!! Infact binafsi nimependa mipango yao...
Uungwana gani? Kwamba kafanya assist? Angempa penati yote, maana penati kapiga yeye ila goli kafunga suarez, ni kama rebound!
Tupunguze kumpaka rangi sana messi, rangi yake tayari inang'ara sana na kupendeza!
Kashindwa ndio maana katoa pasi
makipa na wachezaji wanakazi ya ziada kukaba penati.
Ronaldo yupi? Kuna yule mbrazili na yule mmorocco mwenye asili ya Ureno.
Wivu tu unakusumbusUungwana gani? Kwamba kafanya assist? Angempa penati yote, maana penati kapiga yeye ila goli kafunga suarez, ni kama rebound!
Tupunguze kumpaka rangi sana messi, rangi yake tayari inang'ara sana na kupendeza!
Utakufa na kwikwiLonely Mess hawezi kufunga penati kashajaribu mara nyingi sana na ameishia kupaisha au kumpa kipa!
Bora suarezi kamuondolea aibu hiyo kubwa
Hapa Messi kaonyesha uungwana sana
Lete statistics ya penalt zote alizopiga barca alafu useme ni penalt ngap alizokosa ndo utajua anajua au hajui tatizo ua unaangalia mpira siku ambao messi anakosa penalt ila we utakua mshabik wa chelsea unakumbuka ile penalt tu aliokosa semifinal uefa na ile ya man city tu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Lonely Mess hawezi kufunga penati kashajaribu mara nyingi sana na ameishia kupaisha au kumpa kipa!
Bora suarezi kamuondolea aibu hiyo kubwa
Ampasie benzema hahahahaHuu uungwana aliouonyesha Messi hauwezi kufanywa na Mmoroko mwenye asili ya Ureno.
Kwa nini nisimuonee wivu Samata nimuonee wivu Messi?Wivu tu unakusumbus
ata samatta usimuonee wivu uwez kufika uko kbs alikofikaKwa nini nisimuonee wivu Samata nimuonee wivu Messi?
Penati hii mnapiga kama mnaongoza kuanzia nne na dk zimebaki chache, colombia wewe ni chakula cha mashabiki.Leo nimejaribu kwenye ndondo huku kitaa,jamaa likakosa
Lawama zote mimi na tumetolewa kwenye robo fainali.
Haya, nakuonea wivu wewe.ata samatta usimuonee wivu uwez kufika uko kbs alikofika