Penati ya Messi na Suarez sio ya kwanza, Henry, Pirez walichemsha

Penati ya Messi na Suarez sio ya kwanza, Henry, Pirez walichemsha

Angekuwa cr7 hapo, hataki mwingine ausogelee mpira(no bale+benzema+james)
 
kama penati zinaruhusiwa kupigwa kwa mtindo huu basi ni goli 100%,hamna mchezazji atakayekosa wala golikipa atakayedaka.
 
Kwa nini nisimuonee wivu Samata nimuonee wivu Messi?


Hujazuiwa kumuonea wivu mchezaji yyte yule anapofanya vizuri uwanjani,samatta tunamtakia awe zaidi ya messi...ila wewe unaonyesha unachuki mnoo na huyu kiumbe sababu ya mafanikio yake anayoyaonesha uwanjani ambayo kwa mchezaji yyt yule ni ngumu mno kuyapata...hizo ni akili alizojaaliwa na MUNGU.so usimfananishe na mchezaji yyte yule ulimwenguni utakuwa umemkosea sana, KING MESSI tunamtambua ndiye mchezaji bora all of time, aliyebeba mkoba wa gwiji ulimwenguni Almaarufu Kama DIEGO ARMANDO MARADONA aka ( EL DIEGO10ş) mzaliwa wa LANUS, BUENOS AIRES, ARGENTINE.
 
Ronaldo yupi? Kuna yule mbrazili na yule mmorocco mwenye asili ya Ureno.
namzungumzia cristiano ila namkubali pia kiuwezo ni wa kutoka sayari nyingine toka nimeanza kufuatila barclays wamepita mawinga wengi kina ginola,overmars nk ila hawakutisha kama cristiano,unajua kitendo cha winga kufunga magoli mengi kama cr ni jambo la kusifiwa,so i take my hat off to cristiano
ila ukiwangalinisha hawa wawili cr na messi naamin mesi amejaliwa kipaji zaid na ataendelea kubarikiwa zaid sababu hana tabia ya ubinafsi(ambayo ndo sifa ya asili ya wafungaji bora wengi dunian).
 
Back
Top Bottom