Pendekeza ID ya member mmoja wa kike awepo kwenye JF Hard Talk ya leo

Pendekeza ID ya member mmoja wa kike awepo kwenye JF Hard Talk ya leo

Baby umepata chombo kipya hadi mimi unaniita mkuu daah

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwenye wimbo wa Starehe wa Feruzi ft Prof Jay kuna mahali Feruzi anasema "ona sasa yaliyonikuta kwa dada yake Bashir, tulipokutana nikamtongoza tena kwa mara ya pili".

Huyu Zero IQ ana list ndefu, hivyo wengine anajikuta anawasahau.
 
Kwenye wimbo wa Starehe wa Feruzi ft Prof Jay kuna mahali Feruzi anasema "ona sasa yaliyonikuta kwa dada yake Bashir, tulipokutana nikamtongoza tena kwa mara ya pili".

Huyu Zero IQ ana list ndefu, hivyo wengine anajikuta anawasahau.
Hahaha huu wimbo buana, hivi kuna wimbo bongofleva uliwahi kuhit kama huu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom