Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Njoo unikaange[emoji6]Mimi napendekeza wewe ukae kikaangoni...Hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo unikaange[emoji6]Mimi napendekeza wewe ukae kikaangoni...Hakuna namna
Sana aisee, kumbe 'ulikuwepo' enzi hizo eehSidhani kwa kweli, na ulikuwa na bonge la ujumbe.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unanichoma mkuuKwenye wimbo wa Starehe wa Feruzi ft Prof Jay kuna mahali Feruzi anasema "ona sasa yaliyonikuta kwa dada yake Bashir, tulipokutana nikamtongoza tena kwa mara ya pili".
Huyu Zero IQ ana list ndefu, hivyo wengine anajikuta anawasahau.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unanichoma mkuu
CC Zero IQ
Haha niliposema ulikuwepo sijamaanisha kuzaliwa nilimaanisha ulikuwa na ufahamu wa kuelewa muziki? Bas sawa mhenga mwenzanguHahaha! Dah, Bongo Fleva imeanza naiona. Ila sana sana hii ya kuanzia 1997 kina Mr 2.
Huo wimbo wa Feruzi ilikuwa 2004 nishazeeka.
Aaah wakati wewe kazi yako kunikimbia tu.....Njoo unikaange[emoji6]
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Aaah wakati wewe kazi yako kunikimbia tu.....
Basi sawa tutaonana hivi punde[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Yaani naanzaje kwamfano!!!
Karibu.Basi sawa tutaonana hivi punde
Mie tayari mkuu.Ooh kweli alafu ni wewe
CC Zero IQ
Sasa mimi na hard talk wapi na wapi mkuu!!We bado JF Hard Talk
CC Zero IQ
Haha niliposema ulikuwepo sijamaanisha kuzaliwa nilimaanisha ulikuwa na ufahamu wa kuelewa muziki? Bas sawa mhenga mwenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app