Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Atulipie na vinywaji 😂😂Kweli tubeless kabisa na glass zetu,muulize vizuri bwana
Sisi kazi yetu kusafiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atulipie na vinywaji 😂😂Kweli tubeless kabisa na glass zetu,muulize vizuri bwana
Ipangwe siku twende na sisy Joa😂Sio champion 🤣🤣
Bhana em tuambie km mvinyo upo au tunaruhusiwa kubeba yetu?
Tunataka kwenda kweli na sisy Joha..!
😂😂😂Kweli tubeless kabisa na glass zetu,muulize vizuri bwana
Aloooh!naendelea kupiga dual Ciroc zilete mizuka zaidi na zaidi...😂😂😂
Leo nlikua na mizuka hatari nikapiga vitu flani hivi nikakukumbuka, sijui ulikua mbali. Anyway siku ingine tutafanya jambo Sisy
🤣🤣🤣eti kazi yetu kusafiri vingine atadeal navyo bossAtulipie na vinywaji 😂😂
Sisi kazi yetu kusafiri
Huyo nae yupo mtoko somewhere 😂😂Aloooh!naendelea kupiga dual Ciroc zilete mizuka zaidi na zaidi...
Eeeh kwa hiyo leo mko machaka tofauti?why?Huyo nae yupo mtoko somewhere 😂😂
Alafu ngoja kuna jambo nimshawishi, hii itakua mara ya mwishoUmeelewa vizuri lakini hii sentensi Lamomy ?
Mm nimesafiriEeeh kwa hiyo leo mko machaka tofauti?why?
Una imani zangu nyingi sana,sina shaka na weweAlafu ngoja kuna jambo nimshawishi, hii itakua mara ya mwisho
Kesho huenda akakucheki
Hapo sawa..Mm nimesafiri
Yes nitaongea nae vizuri , akigoma nitafosi. Hopefully itakuaUna imani zangu nyingi sana,sina shaka na wewe
Akigoma mm ntajilipua😂Amina Amina,Lamomy kesho ukiamka naomba Upite hapa uzingatie itifaki
Yaani ungesikia hapa hadi nimepiga mluzi pyupyuuu....najua show zako unyama ni mwingi sanaAkigoma mm ntajilipua😂
Don't worry ngoja baadae niongee nae vizuri tuYaani ungesikia hapa hadi nimepiga mluzi pyupyuuu....najua show zako unyama ni mwingi sana
Barikiwa sana...Don't worry ngoja baadae niongee nae vizuri tu
Itakuwa safari km ya wana wa Israel vituo vya kula bata vitakuwa vingi..!Ipangwe siku twende na sisy Joa😂