Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kumbe je!! ππππ€£π€£π€£eti kazi yetu kusafiri vingine atadeal navyo boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe je!! ππππ€£π€£π€£eti kazi yetu kusafiri vingine atadeal navyo boss
πππ khaaaa.!!Huyo nae yupo mtoko somewhere ππ
π€£π€£π€£ Nimecheka mpk saloon wananishangaa.!!Eeeh kwa hiyo leo mko machaka tofauti?why?
Mhm!! Jambo gani tena? ππAlafu ngoja kuna jambo nimshawishi, hii itakua mara ya mwisho
Kesho huenda akakucheki
Urudi na zawadi zangu πMm nimesafiri
πππ Ulichonifanyia jana MxieeeewwAkigoma mm ntajilipuaπ
π€£π€£π€£ Kashakata ticket?Yaani ungesikia hapa hadi nimepiga mluzi pyupyuuu....najua show zako unyama ni mwingi sana
Aaah haaaa hebu tulia kwanza,hapa hatuongelei ticket acha kujizima data dogo π€£ ππ€£π€£π€£ Kashakata ticket?
Usinisahau kwenye ufalme wako dada
Ushafika πππAaah haaaa hebu tulia kwanza,hapa hatuongelei ticket acha kujizima data dogo π€£ π
Alikwambia una kesi ?πππ Ulichonifanyia jana Mxieeeeww
Kumbe ilianzia huku? Sasa mbona nilikuuliza hujasema?
Jana ulinitia wenge.!
Aaaaah unataka tumwage mchele kwenye kuku wengi? Countrywide njoo mdogo wangu boss anajifanya haelewi hukuUshafika πππ
Haya em niambie mnaongelea nini?
Hiyo jana nilipigiwa simu nikatishwa vi shots vyangu nilivyokunywa vyote vilikata.
Alikuwa ananitisha πππAlikwambia una kesi ?
Mmmh umeanza uchoyo tu mfyuu zakoMhm!! Jambo gani tena? ππ
Ewaaah,ila waziri mkuu unatakiwa utie saini kwanzaAlikuwa ananitisha πππ
Kwa nilichokisoma hapa ni mambo ya kuwezeshana, nimeona kasema anataka kujilipua.!
πππ Mimi wala sikubanii sis ngoja nimcheck kwanza.!Mmmh umeanza uchoyo tu mfyuu zako
πππ Limeisha mbona hilo signed βοΈEwaaah,ila waziri mkuu unatakiwa utie saini kwanza
Countrywide njoo MP kapitisha tayari hukuπππ Limeisha mbona hilo signed βοΈ
Huna baya mdogo wanguπππ Mimi wala sikubanii sis ngoja nimcheck kwanza.!