Pendekeza Majina ya Wabunge wapya ambao ungependa waingie Bungeni Hapo Mwakani

Pendekeza Majina ya Wabunge wapya ambao ungependa waingie Bungeni Hapo Mwakani

Amina Amina,Lamomy kesho ukiamka naomba Upite hapa uzingatie itifaki
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yani hii habari jana nilipewa kitofauti nikajua sijui nimeharibu kitu gani?
Nimetishwa halafu mpk sasa sijui ni nini??
 
Mabus ya abood yamekuwa mengi,akasimamie mabus yake.Waje mmoja wao wa hawa wa gairo,tale tale au inno hapa mjini.
 
🀣🀣🀣 Kashakata ticket?
Usinisahau kwenye ufalme wako dada
Aaah haaaa hebu tulia kwanza,hapa hatuongelei ticket acha kujizima data dogo 🀣 πŸ˜‚
 
Aaah haaaa hebu tulia kwanza,hapa hatuongelei ticket acha kujizima data dogo 🀣 πŸ˜‚
Ushafika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Haya em niambie mnaongelea nini?
Hiyo jana nilipigiwa simu nikatishwa vi shots vyangu nilivyokunywa vyote vilikata.
 
Alikuwa ananitisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa nilichokisoma hapa ni mambo ya kuwezeshana, nimeona kasema anataka kujilipua.!
Ewaaah,ila waziri mkuu unatakiwa utie saini kwanza
 
Back
Top Bottom