Pendekeza Majina ya Wabunge wapya ambao ungependa waingie Bungeni Hapo Mwakani

Pendekeza Majina ya Wabunge wapya ambao ungependa waingie Bungeni Hapo Mwakani

Mh Haji Manara,Ali Kiba,Peter Msechu,Murisho Mupoto,Marioo,Mariam Migomba,Harmonizer,Dotto Magari,
Mh Mwijaku,Baba Levo,Dulla Mbabe,Mwamposa,mh Gigy moneey pamoja na mh Mange Kimambi.
 
Mh Haji Manara,Ali Kiba,Peter Msechu,Murisho Mupoto,Marioo,Mariam Migomba,Harmonizer,Dotto Magari,
Mh Mwijaku,Baba Levo,Dulla Mbabe,Mwamposa,mh Gigy moneey pamoja na mh Mange Kimambi.
Na wewe pia usijisahau.
 
🤣🤣🤣 Dada nimekumiss lini nikuletee vitu vyako pendwa?
Missed you too lastborn.😘😘


Asante dogo,Nakujia kwa Prime Minister soon tupange jambo letu🙏🏼💃🏼🍾🍷
 
Missed you too lastborn.😘😘


Asante dogo,Nakujia kwa Prime Minister soon tupange jambo letu🙏🏼💃🏼🍾🍷
😘😘😘
Halafu nimeingiza mzigo mpya mshtue mzee wa Bucci nna vitu vyake huku 🤣🤣🤣
 
😘😘😘
Halafu nimeingiza mzigo mpya mshtue mzee wa Bucci nna vitu vyake huku 🤣🤣🤣
Poa poa.
Bucci boy salamu atapata soon!

Halafu kumbe ndo mana ulipotea kwenye rada nikasema huyu ukute yuko pande za walia vijiti huyu kumbe sijakosea.
 
Poa poa.
Bucci boy salamu atapata soon!

Halafu kumbe ndo mana ulipotea kwenye rada nikasema huyu ukute yuko pande za walia vijiti huyu kumbe sijakosea.
🤣🤣🤣
Bucci boy nimemletea sample km zote ashindwe yy tu!!
Yani nikikumbukaga nacheka sana!!
Ile swagger yake ya kuvunja kishoka kwenye Ford ranger 🤣
 
🤣🤣🤣
Bucci boy nimemletea sample km zote ashindwe yy tu!!
Yani nikikumbukaga nacheka sana!!
Ile swagger yake ya kuvunja kishoka kwenye Ford ranger 🤣
😀😀😀
Zaba nahisi walizichangamkia chap ?
Ila ntakuchapa umesafiri hata kunibless clinique jamani😭
 
😀😀😀
Zaba nahisi walizichangamkia chap ?
Ila ntakuchapa umesafiri hata kunibless clinique jamani😭
😂😂😂
Zabba ziligombewa km njugu, ss hivi zimekuja BAPPE, NASA, SUPREME, LV, AMIRI brand km zoteeee.!! Clinique usijali next time ntakubless
 
😂😂😂
Zabba ziligombewa km njugu, ss hivi zimekuja BAPPE, NASA, SUPREME, LV, AMIRI brand km zoteeee.!! Clinique usijali next time ntakubless
Safi hongera sana.
Changanya na plain nikija na Bucci boy na mimi nikuungishe.

Asante🙏🏼😍😍
 
Ndugu zangu watanzania,

Sauti ya wengi ni Sauti ya Mungu. Maneno huumba. kwa kuwa mwakani ni Mwaka wa uchaguzi ,na kwa kuwa kuna wabunge wengine walishatangaza kustaafu siasa na kwa kuwa kuna wabunge wengine kutokana na Umri wanaweza kustaafu ubunge na kwa kuwa wengine kutokana na sababu mbalimbali wanaweza wasitake kugombea tena.

Na kwa kuwa uongozi ni kupokezana vijiti na kwa kuwa ubunge ni utumishi wa watu unaohitaji mtu kujitoa na kujitolea kwa ajili ya watu na kutambua kuwa uongozi ni utumishi kwa watu na kwa kuwa CCM ndio chama kinachoaminika katika mioyo ya watanzania na kupendwa na watanzania na hivyo kuwa na imani kubwa na wagombea kupitia CCM.

Je watanzania wenzangu mlikuwa mnatamani sura zipi Ngeni ambazo hazipo kwa sasa bungeni kuona zikipata nafasi ya kuingia Bungeni kupitia majimbo kwa chama cha Mapinduzi? Mnatamani nani na nani kuwaona Bungeni?

Kwa upande wangu japo nataja wachache lakini haimaanishi ni hao hao.wapo wengine ambao nitawataja baadaye.leo nataja tu lakini sababu nitaeleza baadaye.

.Mheshimiwa Paul Makonda.RC Arusha.

. Mheshimiwa Amos Makala.Mwenezi CCM Taifa.

. Mheshimiwa Nehemiah Mchechu,msajili wa Hazina.

. Mheshimiwa Jokate Mwegelo.Katibu Mkuu UVCCM

. Mheshimiwa David Kafulila.Mkurugenzi PPP.

. Mheshimiwa Juma Homela.RC Mbeya.

. Mheshimiwa Shaka Hamidu Shaka.Dc huko Morogoro

. Mheshimiwa Gerson Msigwa.Katibu Mkuu wizara ya utamaduni,sanaa na Michezo.

Muda huu naishia hapa ila nitaendelea wakati mwingine kuwapa sababu ya kupendekeza jina la kila mmoja hapo juu na kuongeza baadhi ya majina mengine mapya. Sijataja majimbo maana mtu anaweza kugombea jimbo lolote lile.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Amos Makala- BIG NO
Jokate Mwegelo- BIG NO
Shaka Hamidu Shaka- BIG NO
David Kafulila- BIG NO
 
Back
Top Bottom