Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Nachofahamu wakurugenzi wa mikoa wengi Wana uzoefu mzuri sana kwenye mambo ya ujenzi ukiacha engenders ambao wapo wizarani na kwingine.
Halafu sidhani kama kuwa DG wa Tanroads lazima uwe engineer. Tusikariri sana kama ilivyokuwa BOT, TPA, NSSF na kwingine.
Halafu sidhani kama kuwa DG wa Tanroads lazima uwe engineer. Tusikariri sana kama ilivyokuwa BOT, TPA, NSSF na kwingine.