Pendekezo: Eng. Kakoko amrithi Patrick Mfugale

Pendekezo: Eng. Kakoko amrithi Patrick Mfugale

Nachofahamu wakurugenzi wa mikoa wengi Wana uzoefu mzuri sana kwenye mambo ya ujenzi ukiacha engenders ambao wapo wizarani na kwingine.

Halafu sidhani kama kuwa DG wa Tanroads lazima uwe engineer. Tusikariri sana kama ilivyokuwa BOT, TPA, NSSF na kwingine.
 
Tatizo ni kwamba nafasi ya mtendaji mkuu wa TANROADS ni international, na pia ni ya kuomba kutokana na sifa, , sio ya kuteuliwa na RAIS ama mamlaka nyingine.
Kwa sasa nadhani yupo Eng Akon anaweza kuact mpaka atakapopatikana mwingine.
Kumbuka Ado(mghana aliwahi kuwa mtendaji kabla ya Mfugale)
Hawajabadilisha Sheria yao kweli? Maana mfugale mbona aliongezewa muda instead ya kutangazwa nafasi? Halafu Ile ni Executive Institution ipo chini ya wizara wanaoomba labda ianze kama internal memo akikosekana ndio watangaze.

But utaishia kwenye internal memo anapewa mtu kwa maagizo.
 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi.

Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu

Halafu msaidizi wake awe Lengai Ole Sabaya! Au Daudi Albert Bashite. Hii itasaidia sana kuienzi Legacy!!
 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi.

Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu

Hili ni jizi saana linapaswa kufilisiwa, lilikuwa na kiburi cha kupindukia pale TPA na hakuna wa kumwambia kitu, yaani mbabe hadi kwa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA walikuwa hawafurukuti kuhoji chochote, wakumzingua anamvutia waya Jiwe, wananywea.
 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi.

Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu

Humjui vizuri Kakoko wewe kaa kimya, hana Management skills za kuiongoza TANROADS, alicho nacho tu uwezo mzuri na bidii ya kufanya kazi lakini ni mpenda sifa, mwizi, jeuri,katili na mlafi wa pesa sana. Miaka mitano aliyokaa hapo TPA amelivuruga sana shirika.
 
Back
Top Bottom