Pendekezo: Ili kumuenzi Hayati Magufuli ianzishwe Magufuli Infrastructure Development Fund-MIDF

Pendekezo: Ili kumuenzi Hayati Magufuli ianzishwe Magufuli Infrastructure Development Fund-MIDF

Salamu kwa wanaJF.

Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.

Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya Afya na barabara.

Wapenzi na wafuasi wa kazi na falsafa za Magufuli waweze kuchangia katika mfuko huo.

Michango ya kuonesha soliderity iende huku.

Fedha za mfuko huo zitumike kuboresha miundombinu ya huduma.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu.

Kama walivyofanya Kikwete na Mkapa naye Magufuli anatakiwa awe na Mungufuli foundation ambayo ndiyo itaamua kitu gani na mradi gani wafanye. Hii sio shughuli ya serikali kufanya na haitakiwi kuingilia. Hii inatakiwa kuwa inajitegemea kama foundation nyingine na zitafute pesa hata kama ni Kenya, USA .... na wadau wote waliokuwa wanampenda. Lakini siungi mkono serikali kuanza kufanya vitu vya kupongezana kwa pesa za wananchi. Foundation nyingine za wastaafu zinajiendeleza zenyewe.
 
Kama walivyofanya Kikwete na Mkapa naye Magufuli anatakiwa awe na Mungufuli foundation ambayo ndiyo itaamua kitu gani na mradi gani wafanye. Hii sio shughuli ya serikali kufanya na haitakiwi kuingilia. Hii inatakiwa kuwa inajitegemea kama foundation nyingine na zitafute pesa hata kama ni Kenya, USA .... na wadau wote waliokuwa wanampenda. Lakini siungi mkono serikali kuanza kufanya vitu vya kupongezana kwa pesa za wananchi. Foundation nyingine za wastaafu zinajiendeleza zenyewe.
Foundation ndio inatakiwa kuisaidia serikali kwenye baadhi ya mambo na sio setikali tena ndio isaidie foundation, mfano mkapa foundation imesaidia sana serikali kwenye sekta ya afya, hasa kwenye remotes areas!!!
 
Nitachangia kiasi hicho endapo nitafahamu Trillioni 1.5 za Airport ya Chato zilitumikaje..

Aione Prof Assad kwenye file..
 
Eti 'Falsafa' za Magufuli

Ma Rais wa Tanzania waliokuwa ni wana Falsafa ni Julius Nyerere na Benjamin Mkapa pekee

Mkuu this is not fair. Umepuuza kabisa falsafa ya “Ruksa” baada ya mbinyo mkali wa ujamaa?

Unaweza kukosoa utekelezaji lakini ilikuwa falsafa kiaina iliyojaribu kuchanganya ujamaa, ubepari na utashi wa mtu binafsi. Labda ilikosa andiko rasmi tu. Dhana kama PPP zilichipukia hapo. B. Mkapa aliibukia hapo.
 
MAGUFULI DONA COUNTRY PROJECT ( MDCP)
 
What about Nyerere? Mkapa je? Acheni huu upuuzi wa kumfanya Mwendazake kuwa kama malaika flani. Yote aliyofanya ni kwa fedha za walipakodi wa Tanzania. Lakini kama ni lazima kumuenzi, wapeni watoto wenu majina yake 😡
Basi tutamuenzi tundu lisu kwa kuwa shoga yake na rob amster
 
Tumuenzi kwa lipi? Hatuwezi kumuenzi mtawala aliyekuwa dikteta, mbakaji wa katiba, mvunjaji wa sheria, muasisi wa siasa za Chuki na kibaguzi, tuhuma kibao za ufisadi na wizi wa fedha za umma, aliyetesa na kupoteza raia wasio hatia kwa kutofautiana nao kisiasa, mi nafikiri ingetafutwa namna kumbukumbu zake zote zifutwe, huyu angetawala tena miaka mingine 5 nchi ingekuwa jehanamu, Mwenyezi Mungu alijibu maombi yetu 17 March 2021

[emoji122][emoji122]
 
Salamu kwa wanaJF.

Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.

Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya Afya na barabara.

Wapenzi na wafuasi wa kazi na falsafa za Magufuli waweze kuchangia katika mfuko huo.

Michango ya kuonesha soliderity iende huku.

Fedha za mfuko huo zitumike kuboresha miundombinu ya huduma.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu.
Mfuko utatoa wapi fedha hizo? Tupe vyanzo
 
Back
Top Bottom