Pendekezo: Ili kumuenzi Hayati Magufuli ianzishwe Magufuli Infrastructure Development Fund-MIDF

Eti 'Falsafa' za Magufuli

Ma Rais wa Tanzania waliokuwa ni wana Falsafa ni Julius Nyerere na Benjamin Mkapa pekee
Mshaanza kumkana mungu wenu wa Chattle
 
Hebu Mfuate alipo halafu utupe update ya Namna anavyoongoza Malaika kwanza
 
Yaani post za kisukuma kisukuma tu.
Yaani tuanzishie Shetani kumbukumbu?!
Wasukuma mbona wapumbavu hivyoo
 
Kwanini sii uzalendo fund,keanu yenyewe imeshaanza kufanya kazi.
 
Msimsahau Kijanavwake aliekura raha zaidi wote duniani awemo kwenye huo mfuko Mskonda pia Sabaya asikose akitokamo jela......
 
Huyo katili dikteta mkitaja jina lake wengine tunakosa amani
 
Wakati tunaanzisha mfuko huo pia katika Kila mradi tuweke picha ya AKWILINA,BEN SANANE,AZORY GWANDA,SIMON KINGUYE ili tumuenzi ipasavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…