Uchaguzi 2020 Pendekezo: John Mrema agombee ubunge jimbo la Vunjo

Uchaguzi 2020 Pendekezo: John Mrema agombee ubunge jimbo la Vunjo

Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Hivyo ni vyama vya siasa Bwashee na vinafanana kwa mambo mengi hivyo ondoa dhana ya uungu.
Wanapambana wanadamu na hivyo usimhusishe Mwenyenzi Mungu.
Na wakishakuwa wanadamu ujue kila mmoja ana madhaifu yake ya kishetani.
 
Vunjo ni jimbo langu kuzaliwa, kwa kweli sijawahi kufeel kama kuna shughuli za kisiasa na mbunge. shughuli ambazo ziko active ni za kikanisa Lutheran na uchumi zina nguvu kuliko siasa. Even diwani wangu bora liende yuko kama picha anaendelea na shughuli zake za kuchinja na kuuza nyama hayuko kisiasa kabisa.
Tunakuleteeni siasa mwaka huu mkuu
 
Iko haja sasa ya Mkuu wa Itifaki wa Chadema kuchukua uwakilishi wa Wananchi wa Vunjo wanaomuamini na ambao walimtaka tangu 2015 .

John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando kutokana na kuheshimu makubaliano ya UKAWA , kwa faida ya wadau ni kwamba kama huyu jamaa akiamua kukubaliana na pendekezo langu la kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Vunjo , basi bila shaka atashinda kwa kishindo na hakuna wa kumzuia

Wakati umefika sasa kwa wananchi wa Vunjo kupata Mbunge wa kisasa mwenye fikra chanya zinazoenda na wakati
Katika wanasiasa hawana njaa ni John mrema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa vile nyie ndio wapiga kura tayari mmeshinda. Ila kama kura ni siri ya mtu leteni box

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo letu kubwa ni kuukimbia ukweli,hatutaki kabisa kuusikia kitu kinachoitwa 'kweli"
Kwa jinsi hali ilivyo,chadema itashinda labda majimbo yatakayoamuliwa.
Usiniulize yatakayoamuliwa na nani,
Na Vunjo haitakuwa miongoni mwa majimbo hayo.
 
Tatizo letu kubwa ni kuukimbia ukweli,hatutaki kabisa kuusikia kitu kinachoitwa 'kweli"
Kwa jinsi hali ilivyo,chadema itashinda labda majimbo yatakayoamuliwa.
Usiniulize yatakayoamuliwa na nani,
Na Vunjo haitakuwa miongoni mwa majimbo hayo.
Mkuu uchaguzi wa mwaka huu mkileta ujinga huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania , chukua haya maneno uyatunze.

Nothing lasts longer .
 
Wewe ni nani uwachagulie wana vunjo mbunge wao??
 
Hili siyo pendekezo tena , bali ni MAELEKEZO kwa John Mrema
 
Mkuu John Mrema ni vema ukanijia inbox ili nipate msimamo wako kwenye hili , kiuhalisia jimbo la Vunjo liko wazi
 
Iko haja sasa ya Mkuu wa Itifaki wa Chadema kuchukua uwakilishi wa Wananchi wa Vunjo wanaomuamini na ambao walimtaka tangu 2015 .

John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando kutokana na kuheshimu makubaliano ya UKAWA , kwa faida ya wadau ni kwamba kama huyu jamaa akiamua kukubaliana na pendekezo langu la kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Vunjo , basi bila shaka atashinda kwa kishindo na hakuna wa kumzuia

Wakati umefika sasa kwa wananchi wa Vunjo kupata Mbunge wa kisasa mwenye fikra chanya zinazoenda na wakati

Mkuu kwani John Mrema ni mkazi wa Vunjo? Kama sio mkazi, hakuna mwanacdm mwingine aliye vizuri huko vunjo ambaye ni mkazi wa huko?
 
Mkuu kwani John Mrema ni mkazi wa Vunjo? Kama sio mkazi, hakuna mwanacdm mwingine aliye vizuri huko vunjo ambaye ni mkazi wa huko?
Mrema ni mkazi wa kuzaliwa na kukulia Vunjo , ndiye aliyepewa kijiti na Chadema kugombea ubunge Vunjo 2015 , lakini ilibidi ajiondoe ili kuheshimu UKAWA
 
Back
Top Bottom