Kwa vile nyie ndio wapiga kura tayari mmeshinda. Ila kama kura ni siri ya mtu leteni boxHata akigombea hatashinda!
Safari hii chadema hamtapata kitu.
muda utasema
Usihangaike na hao masikini wa akiliKwa vile nyie ndio wapiga kura tayari mmeshinda. Ila kama kura ni siri ya mtu leteni box
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo ni vyama vya siasa Bwashee na vinafanana kwa mambo mengi hivyo ondoa dhana ya uungu.Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Tunakuleteeni siasa mwaka huu mkuuVunjo ni jimbo langu kuzaliwa, kwa kweli sijawahi kufeel kama kuna shughuli za kisiasa na mbunge. shughuli ambazo ziko active ni za kikanisa Lutheran na uchumi zina nguvu kuliko siasa. Even diwani wangu bora liende yuko kama picha anaendelea na shughuli zake za kuchinja na kuuza nyama hayuko kisiasa kabisa.
Katika wanasiasa hawana njaa ni John mremaIko haja sasa ya Mkuu wa Itifaki wa Chadema kuchukua uwakilishi wa Wananchi wa Vunjo wanaomuamini na ambao walimtaka tangu 2015 .
John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando kutokana na kuheshimu makubaliano ya UKAWA , kwa faida ya wadau ni kwamba kama huyu jamaa akiamua kukubaliana na pendekezo langu la kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Vunjo , basi bila shaka atashinda kwa kishindo na hakuna wa kumzuia
Wakati umefika sasa kwa wananchi wa Vunjo kupata Mbunge wa kisasa mwenye fikra chanya zinazoenda na wakati
Tatizo letu kubwa ni kuukimbia ukweli,hatutaki kabisa kuusikia kitu kinachoitwa 'kweli"Kwa vile nyie ndio wapiga kura tayari mmeshinda. Ila kama kura ni siri ya mtu leteni box
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda msambaze vipeperushi vya kuchochea ukabira wasukuma wenzangu.Niwazi chadema imeishiwa watu! Mtapigwa sana mwaka huu wa uchaguzi katika kula.
John mlema hata mimi nasimama nae.
Huyu asiye na njaa ndio anayetufaa
Mkuu uchaguzi wa mwaka huu mkileta ujinga huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania , chukua haya maneno uyatunze.Tatizo letu kubwa ni kuukimbia ukweli,hatutaki kabisa kuusikia kitu kinachoitwa 'kweli"
Kwa jinsi hali ilivyo,chadema itashinda labda majimbo yatakayoamuliwa.
Usiniulize yatakayoamuliwa na nani,
Na Vunjo haitakuwa miongoni mwa majimbo hayo.
Karibu sana mkuuWewe ni nani uwachagulie wana vunjo mbunge wao??
Mkuu, Mbatia ni MSALITI na tena hutomsikia akiongelea suala la TUME HURU YA UCHAGUZI. Trust me!
May be nimemmix na AUgustine Lyatonga Mrema mkuu inawezekana nimechanganya mafileUnamfahamu John Mrema kweli ?
May be nimemmix na AUgustine Lyatonga Mrema mkuu inawezekana nimechanganya mafile
ndo maana nilikujibu hivo hapo juu nikiwa na uhakika umechanganya mafile
Nimekurupuka kama Braza K wa futuhindo maana nilikujibu hivo hapo juu nikiwa na uhakika umechanganya mafile
Sent using Jamii Forums mobile app
asante kwa kukiri makosaMay be nimemmix na AUgustine Lyatonga Mrema mkuu inawezekana nimechanganya mafile
Iko haja sasa ya Mkuu wa Itifaki wa Chadema kuchukua uwakilishi wa Wananchi wa Vunjo wanaomuamini na ambao walimtaka tangu 2015 .
John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando kutokana na kuheshimu makubaliano ya UKAWA , kwa faida ya wadau ni kwamba kama huyu jamaa akiamua kukubaliana na pendekezo langu la kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Vunjo , basi bila shaka atashinda kwa kishindo na hakuna wa kumzuia
Wakati umefika sasa kwa wananchi wa Vunjo kupata Mbunge wa kisasa mwenye fikra chanya zinazoenda na wakati
Mrema ni mkazi wa kuzaliwa na kukulia Vunjo , ndiye aliyepewa kijiti na Chadema kugombea ubunge Vunjo 2015 , lakini ilibidi ajiondoe ili kuheshimu UKAWAMkuu kwani John Mrema ni mkazi wa Vunjo? Kama sio mkazi, hakuna mwanacdm mwingine aliye vizuri huko vunjo ambaye ni mkazi wa huko?