Pendekezo: Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ianzishe mfumo mmoja wa kusajili magari (number plates)

Pendekezo: Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ianzishe mfumo mmoja wa kusajili magari (number plates)

That person from Singida might not necessarily move to Nakuru, but he/she could be among the 40% of Tanzanians who don't even know what the EAC is. Having the EAC flag on our car plates will make him/her question more and in the process learn more about the EAC.
You know, I don't think that people don't have money to cross borders. For instance, create a harmonized unified hugher education system in the EAC utaona watu wakivuka mipaka. Sisi ndo tumeifunga mipaka yetu wenyewe na kumfanya mtu wa Singida atake kwenda kusoma UDSM na sio Makerere au UoN!
So, once again we have a chicken and egg scenario. What should come first? Should we wait for huyu mtu wa Singida atake kuvuka mpaka au we should create push factors for him/her to want to cross?
Make no mistake about, I'm pro East African, and what you just said about education, is similar to what I said about common knowledge. Big number of people luck the knowledge of what's EAC is all about, and were is EAC going. Our leaders are going around the bush with this subject. Wengine wanataka, wengine wanataka nusu, wengine hawana uhakika nini wanataka, ilihali mvutano tuu.

The question of chicken and eggs is a very good question, do we start with number plates or we start with education. Nyerere once said, if you want to take a man out of poverty, educate his children's. One day those children will use the knowledge to lift the family out of poverty. The people of EAC needs to understand the integration, they need to own integration, they need to live the integration. Right now we've people full of ideology and false information about EAC. All they know is EAC is bad, na sio kama wamechunguza no, wameambiwa EAC is bad. Kelele zinakuja kutoka ndani ya EAC na nje ya EAC. The government will always go with what people wants, if more Tanzania are taking advantage of EAC, the Tanzanian government will have to find its way and follow wananchi.
 
kenyan plates are the ugliest in the region pants down, they look as if they are made for the blind. ugandas nd rwandese are better looking, tanzanias front yellow plate are also aestheticaly terrible..
But i still love them Kenya is Literally the only Country in Africa Still using The colonial Number plates .....
 
This cooperation should strictly be about trade, all these ideas, ati sijui currency, number plates what have u......are we not overreaching ourselves here? The countries need not lose their identities ati in the name of the EAC!
You always there for benefits, whilst no benefit in plate numbers you must ignore the idea.. This is how Kenyans are.. Selfishness.!
 
You always there for benefits, whilst no benefit in plate numbers you must ignore the idea.. This is how Kenyans are.. Selfishness.!
Katafute mtu akutafsirie ulichoandika.
 
This is why Cicero .....This comment summarises why EAC cant work

Kenya And Somalia have a legitimate chance of Becoming one within The next 5yrs with/without war than EAC in 100yrs at Peacetime...
EAC haina la maana, acha watanzania tufurahie nchi yetu.
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar usiwe kisingizio cha kucheleweshwa kwa Shirikisho la Afrika Mashariki.
Nyerere mwenyewe alisema the only way to break the Tanzaian union ni kama nchi zote mbili (Tanganyika na Zanzibar) zitakuwa ndani ya Shirikisho la Afrika Mashariki.
Hivyo basi EAC ni suluhu la kudumu kwa kero za muungano wa Tanzania
Ni lini watanzania waliulizwa kama wanataka shirikisho la EAC na sio kwamba lilikuwa ni wazo binafsi la Nyerere? hata Zanzibar kinachoonekana kwa wapinga muungano ni kwa sababu muungano huo haukupata ridhaa kwa wananchi, hawakuulizwa kama wanautaka au hawautaki muungano. Hivi jumuiya za kiuchumi kama ECOWAS na SADC zimeleta utajiri kwa nchi gani Afrika?

Uganda na Kenya wana mgogoro wa kisiwa cha migingo kiasi cha kutishiana, Burundi na Rwanda wana migogoro ya muda mrefu, hilo shirikisho lina maana gani ikiwa hadi sasa hakuna maelewano na migogoro imeshindwa kutatulika?
 
Ni lini watanzania waliulizwa kama wanataka shirikisho la EAC na sio kwamba lilikuwa ni wazo binafsi la Nyerere? hata Zanzibar kinachoonekana kwa wapinga muungano ni kwa sababu muungano huo haukupata ridhaa kwa wananchi, hawakuulizwa kama wanautaka au hawautaki muungano. Hivi jumuiya za kiuchumi kama ECOWAS na SADC zimeleta utajiri kwa nchi gani Afrika?

Uganda na Kenya wana mgogoro wa kisiwa cha migingo kiasi cha kutishiana, Burundi na Rwanda wana migogoro ya muda mrefu, hilo shirikisho lina maana gani ikiwa hadi sasa hakuna maelewano na migogoro imeshindwa kutatulika?
Watanzania wengi wanalitaka shirikisho la EA.......tunatofautiana tu kwenye muundo wa serikali ya shirikisho na mda wa kuanzishwa kwake.
Mi nadhani cha muhimu elimu itolewe kwa raia kuhusu faida za Shrikisho, na watu waeleweshwe kwamba kila nchi itabaki na serikali yake itakayokuwa na mamlaka kamili juu ya mambo ya ndani ya nchi.
 
Watanzania wengi wanalitaka shirikisho la EA.......tunatofautiana tu kwenye muundo wa serikali ya shirikisho na mda wa kuanzishwa kwake.
Mi nadhani cha muhimu elimu itolewe kwa raia kuhusu faida za Shrikisho, na watu waeleweshwe kwamba kila nchi itabaki na serikali yake itakayokuwa na mamlaka kamili juu ya mambo ya ndani ya nchi.
Hao watanzania wengi unaosema wanalitaka shirikisho hilo waliulizwa na nani, lini na wapi? kama umesema wananchi wanalitaka shirikisho maana yake wanaelewa yote kuhusu shirikisho sasa kwanini useme elimu itolewe wakati wanafahamu kuhusu shirikisho?
 
Hao watanzania wengi unaosema wanalitaka shirikisho hilo waliulizwa na nani, lini na wapi? kama umesema wananchi wanalitaka shirikisho maana yake wanaelewa yote kuhusu shirikisho sasa kwanini useme elimu itolewe wakati wanafahamu kuhusu shirikisho?
Tafuta ripoti ya Profesa Sam Wangwe na nyingine ya kamati ya Amos Wako.
Tume zilishaundwa na kukusanya maoni ya wananchi zamani tu.
 
Tanzania tulishasema na nchi zingine za EAC zikakubali kuwa suala la ardhi halina mjadala kila nchi mwanachama itabaki na mamlaka kamili juu ya matumizi ya ardhi yake
Hapo sahihi
 
i like tanzanian plates.Just curious how do you name those plates is it from the region you come from?
 
Nakumbuka last December kule pwani, after every 4th car the fifth had Tanzanian plates, sijui mlikua mmepagana, mlikua wengi sana
 
Tafuta ripoti ya Profesa Sam Wangwe na nyingine ya kamati ya Amos Wako.
Tume zilishaundwa na kukusanya maoni ya wananchi zamani tu.
Hayo maoni hakuna mtu ninayemfahamu aliwahi kukutana na akaulizwa kama anapenda shirikisho la EAC au lah. Ili suala hilo liwe na maana ilitakiwa ifanyike fair referendum, hatuwezi kutegemea tume ya mwanaccm Prof Wangwe kama ukweli.
 
tufanye vya msingi kwanza: kusawazisha forodha, kodi, soko huru, standards, kisha hayo number plate unayotaka yaje. Na hapo ndio wabongo mnakera na usuaji wenu.
 
Back
Top Bottom