NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,572
- 48,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wisely saysI know exactly what you mean, but do you believe that a common number plate will make someone from Singida chooses to visit Nakuru just because they have same number plate with his/her counterpart? I think its all comes down to money, are the people feeling wealthy enough to jump on their vehicle and cross the border. I'm not sure in past five years how many friend's have you made in Burundi Rwanda Uganda or Kenya, If you have, than you'll be one of the few in a hundred fifty million people. Integration need money circulation, it needs trade volume, common knowledge, and common values.
Kwamba mnataka mmiliki ardhi ya Tanzania!!Hiyo ni fitina potovu, vitu nusu nusu haviwezi kubalika kamwe!! Ukiingia ingia ama sivyo enda zako
Kwamba mnataka mmiliki ardhi ya Tanzania!!
Hilo msahau
Tanzania yawatanzaniaSi hivyo, kwamba, Mkenya aweza aje kule Tanzania akanunue shamba kwa matumizi yake mwenyewe, ujuavyo kununua si kuiba
Nothing shouts EAC than having the common currency (East African Shilling), lakini that's something too radical that might not even ever happen.
However, we have simple things that we could implement which are not as radical, the aim being to give the EAC more visibility. I fail to see ugumu wa kuanzisha mfumo mmoja wa kusajili magari. If possible all countries should switch to this new digital car number plates.
The new number plate should have the EAC flag as well as the letter of the state of registration (TZ for Tanzania, KE for Kenya, UG for Uganda, RW for Rwanda, BR for Burundi and SS for South Sudan). Kwa mfano huu ni mfumo wa namba za magari huko EU:
![]()
As you can see kuna bendera ya EU followed by a letter showing the country of origin (In this case GB means Great Britain)
Nawasilisha hoja!
You are assuming that we all want the slumbering old East African Community, WE DON'T!
Tanzanians have handily rejected the ruse and fraud of East African Community since the 70's.
Wasikie sasa wanavyoongea, vigeugeu, watu ambao hawawezi aminika kwa lolote!!
lakini mbona watz wanafik kiasii hiki??