johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
ACT Wazalendo imesema watashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe kujaza nafasi ya mbunge iliyo wazi baada ya mbunge wa awali kufariki dunia.
Katibu mkuu wa ACT Wazalendo mh Shaibu amesema kuna tetesi kuwa Zitto Kabwe anataka kugombea lakini wao kama chama Zitto hajawaambia kama ana nia hiyo lakini kama itampendeza kugombea milango iko wazi kwa sababu ana sifa zote.
Nashauri endapo Zitto Kabwe ataamua kugombea basi CHADEMA imuunge mkono lakini siyo lazima.
Kila zama na kitabu chake.
Katibu mkuu wa ACT Wazalendo mh Shaibu amesema kuna tetesi kuwa Zitto Kabwe anataka kugombea lakini wao kama chama Zitto hajawaambia kama ana nia hiyo lakini kama itampendeza kugombea milango iko wazi kwa sababu ana sifa zote.
Nashauri endapo Zitto Kabwe ataamua kugombea basi CHADEMA imuunge mkono lakini siyo lazima.
Kila zama na kitabu chake.