Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Hivi yule anayejiita mbunge nje ya bunge ELIA F MICHAEL Kama sikosei n Jimbo gani yule kilaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto atamaliza majimbo yote ya Kigoma kwa urafi wa kutaka kuwa mbunge, jamani kuna maisha nje ya ubunge, demokrasia ni kuwaachia na wengine wajaribu bahati yao,kwa sasa hatumhitaji Zitto kwani ni muongo na hana lolote,kuna wakati alisema atawataja walioficha pesa Uswisi lakini kumbe hiyo ilikuwa ni gia ya kuwa blackmail hao wenye vijisenti vyao huko Uswisi.ACT wazalendo imesema watashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe kujaza nafasi ya mbunge iliyo wazi baada ya mbunge wa awali kufariki dunia.
Katibu mkuu wa ACT wazalendo mh Shaibu amesema kuna tetesi kuwa Zitto Kabwe anataka kugombea lakini wao kama chama Zitto hajawaambia kama ana nia hiyo lakini kama itampendeza kugombea milango iko wazi kwa sababu ana sifa zote.
Nashauri endapo Zitto Kabwe ataamua kugombea basi Chadema imuunge mkono lakini siyo lazima.
Kila zama na kitabu chake!
Huyu si kilaza buana, ila yuko jimbo la Buyungu si MuhambweHivi yule anayejiita mbunge nje ya bunge ELIA F MICHAEL Kama sikosei n Jimbo gani yule kilaza
Wanafki mkiwa kazin, Mungu atawachoma asee. Hata marehemu hajamaliza wiki kaburini mshaanza kumgeuka??ACT wazalendo imesema watashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe kujaza nafasi ya mbunge iliyo wazi baada ya mbunge wa awali kufariki dunia.
Katibu mkuu wa ACT wazalendo mh Shaibu amesema kuna tetesi kuwa Zitto Kabwe anataka kugombea lakini wao kama chama Zitto hajawaambia kama ana nia hiyo lakini kama itampendeza kugombea milango iko wazi kwa sababu ana sifa zote.
Nashauri endapo Zitto Kabwe ataamua kugombea basi Chadema imuunge mkono lakini siyo lazima.
Kila zama na kitabu chake!
Kibondo Kigomamihambwe iko wapi?
Si mnasema Chadema imekufa?ACT wazalendo imesema watashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe kujaza nafasi ya mbunge iliyo wazi baada ya mbunge wa awali kufariki dunia.
Katibu mkuu wa ACT wazalendo mh Shaibu amesema kuna tetesi kuwa Zitto Kabwe anataka kugombea lakini wao kama chama Zitto hajawaambia kama ana nia hiyo lakini kama itampendeza kugombea milango iko wazi kwa sababu ana sifa zote.
Nashauri endapo Zitto Kabwe ataamua kugombea basi Chadema imuunge mkono lakini siyo lazima.
Kila zama na kitabu chake!
Ah! Kila zama na kitabu chake eeh?
Kwanini hujapendekeza Steven Masatu Wasira akagombee huko au wale waliopigwa chini kwenye utawala wa Chato?
Kama kamati kuu ya CCM itampitisha Jamal, Zitto atakuwa na njia nyeupe ya kuchukua jimbo hiloJimboni Muhambwe CCM tuna TAMIM JAMAL
CDM, ACT, NCCR, CUF nk leteni wagombea ili wajipatie ruzuku ila kusema ushindi ni ndoto - nimeyaandika leo 29/03
Msakila M Kabende
CCM No. 75
Katika kupata uthibitisho kama upinzani uliibiwa kura au laa.Ah! Kila zama na kitabu chake eeh?
Kwanini hujapendekeza Steven Masatu Wasira akagombee huko au wale waliopigwa chini kwenye utawala wa Chato?