Pendekezo: Kama Zitto Kabwe atagombea ubunge jimbo la Muhambwe basi CHADEMA imuunge mkono

Pendekezo: Kama Zitto Kabwe atagombea ubunge jimbo la Muhambwe basi CHADEMA imuunge mkono

Hata nikigombea mimi kwa tiketi ya chama chochote against CCM ni dhahili nitashinda - cha msingi sasa CCM waanze kuona aibu - nchi na dunia nzima wanachekwa kwa namna walivyoendesha zoezi la uchaguzi Mkuu uliopita - Mama Samia usikubali matope haya wakupake na wewe !! Waambie atakayechezea chaguzi hizi ndogo zikileta maafa ni wewe na yeye !!

Otherwise Kigoma yote by nature ni Opposition sababu waha wanajua HAKI zao na wanajitambua.... Muha by nature si mtu wa kujikombakomba eti asaidiwe - ni wapambanaji.

Miaka ya 90's walianza vuguvugu la kutaka kuanzisha State yao baada ya kuona Serikali imewasahau mno as if wao si sehemu ya nchi ya Tanzania.
waha ni mabingwa wa uchawa.
 
ACT Wazalendo imesema watashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe kujaza nafasi ya mbunge iliyo wazi baada ya mbunge wa awali kufariki dunia.

Katibu mkuu wa ACT Wazalendo mh Shaibu amesema kuna tetesi kuwa Zitto Kabwe anataka kugombea lakini wao kama chama Zitto hajawaambia kama ana nia hiyo lakini kama itampendeza kugombea milango iko wazi kwa sababu ana sifa zote.

Nashauri endapo Zitto Kabwe ataamua kugombea basi CHADEMA imuunge mkono lakini siyo lazima.

Kila zama na kitabu chake.
Muhambwe kuna Mkosamali, yeye aende Buhigwe ambako ni jirani na nyumbani kwao!
 
Naunga mkono Zitto akichaguliwa.

Wana ccm wamuunge mkono.
 
ACT Wazalendo imesema watashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Muhambwe kujaza nafasi ya mbunge iliyo wazi baada ya mbunge wa awali kufariki dunia.

Katibu mkuu wa ACT Wazalendo mh Shaibu amesema kuna tetesi kuwa Zitto Kabwe anataka kugombea lakini wao kama chama Zitto hajawaambia kama ana nia hiyo lakini kama itampendeza kugombea milango iko wazi kwa sababu ana sifa zote.

Nashauri endapo Zitto Kabwe ataamua kugombea basi CHADEMA imuunge mkono lakini siyo lazima.

Kila zama na kitabu chake.
Zitto haaminiki, anaweza akapandikizwa kwenye hilo jimbo kuwa mgombea wa ccm kwa ticket ya Act
 
Z

Zitto atamaliza majimbo yote ya Kigoma kwa urafi wa kutaka kuwa mbunge, jamani kuna maisha nje ya ubunge, demokrasia ni kuwaachia na wengine wajaribu bahati yao,kwa sasa hatumhitaji Zitto kwani ni muongo na hana lolote,kuna wakati alisema atawataja walioficha pesa Uswisi lakini kumbe hiyo ilikuwa ni gia ya kuwa blackmail hao wenye vijisenti vyao huko Uswisi.
Kigoma kaskazimi walimkataa kwa sababu ni muislam so aka swap na Serukamba ili wote wagombee maeneo ya dini zao!!

But ambalo lipo wazi ni Zitto anakubalika sana kigoma bila kujalisha ni Jimbo gani but chama alichopo ndio kimempunguza nguvu.

Then tukiacha madhaifu yake but ni muhimu sana bungeni kuliko wabunge 100 wa CCM hasa kuchambua miswada, Bajeti, na ripoti za CAG.

Kwa hili nashauri agombee hapo Kibondo nina imani atatangazwa mshindi maana ACT wana MoU na CCM
 
Back
Top Bottom