Pendekezo:Kikosi maalum cha kupambana na ugaidi

Pendekezo:Kikosi maalum cha kupambana na ugaidi

Jackbauer

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
6,053
Reaction score
2,207
Tanzania kwa mara nyingine tena inashuhudia tukio la pili la kigaidi ambalo limevuta hisia kutoka jamii mbalimbali za kimataifa.ukiacha tukio la kulipuliwa kwa ubalozi wa marekani utaona tukio la Olasiti linazidi kudhihirisha kuwa Tanzania yaweza kuwa eneo linalotoa mwanya kwa magaidi kupanga na kutekeleza mashambulizi ya kigaidi iwe ndani ya Tanzania au nchi za jirani.
Tumewahi kusikia kuwa mmoja wa waliolipuwa mabomu huko kampala na kuleta madhara kwa wale waliokuwa wakifuatilia fainali za kombe la dunia alikuwa ni mtanzania/aliishi Tanzania.

Kwa maoni yangu watanzania ni wamoja mno nikimaanisha pamoja na matukio kadhaa ya misuguano ya kidini bado wameendelea kusalimiana,kutaniana,kuzikana,kuzungumza na kufanya kazi pamoja.
Lakini kuna kikundi cha watu wachache sana ambao wanataka kuharibu amani ya nchi hii na mataifa kwa ujumla.ni kikundi chenye fedha,wataalamu na mikakati mifupi na mirefu yenye malengo maalumu ambayo hayana tija kwa waislamu,wakristu na wapagani.

Kwa mwelekeo ulivyo tunazidi kuzama kwenye jahazi la ugaidi(wala sio udini)

kuna mtu aliwahi kuleta thread hapa jamvini kwamba ameona kundi la vijana wakiwa kwenye mafunzo ya karate na dini huko njiro Arusha,kuna mtu yoyote anayewafuatilia kujua lengo la mafunzo hayo ni lipi?wakitoka hapo wanaenda wapi?je serikali inafahamu au kuratibu mafunzo ya namna hii?

Kimsingi hoja yangu inataka kujikita katika kuanzishwa kwa kikosi maalumu cha kupambana na ugaidi(counter terrorism unit) ili kufuatilia nyendo za magaidi nchini.
Hivi karibuni tunaweza kuwa wachimbaji wazuri wa madini ya urani ,sitegemei kama magaidi watakaa mbali na nchi yetu!tusisubiri kufika maeneo ya matukio na kutoa pole bali tujipange kwa kuepusha ugaidi.

Ni vizuri sheria ya ugaidi ikapitiwa vizuri kuona kama inaruhusu/itaruhusu kuundwa kwa kikosi hiki maalumu cha kupambana na ugaidi.
Ni aibu pia kwamba kila wakati tunahitaji msaada wa CIA,FBI ili kufuatilia matukio ya kigaidi ni vyema tukawa na CTU yetu!
 
Tuwe tayari kupeleka vijana wetu watiifu kupata mafunzo adimu(special training) hata kama ni watano kwa mwaka lakini mwisho wa siku tuwe na kikosi kamili.
 
Tanzania kwa mara nyingine tena inashuhudia tukio la pili la kigaidi ambalo limevuta hisia kutoka jamii mbalimbali za kimataifa.ukiacha tukio la kulipuliwa kwa ubalozi wa marekani utaona tukio la Olasiti linazidi kudhihirisha kuwa Tanzania yaweza kuwa eneo linalotoa mwanya kwa magaidi kupanga na kutekeleza mashambulizi ya kigaidi iwe ndani ya Tanzania au nchi za jirani.
Tumewahi kusikia kuwa mmoja wa waliolipuwa mabomu huko kampala na kuleta madhara kwa wale waliokuwa wakifuatilia fainali za kombe la dunia alikuwa ni mtanzania/aliishi Tanzania.

Kwa maoni yangu watanzania ni wamoja mno nikimaanisha pamoja na matukio kadhaa ya misuguano ya kidini bado wameendelea kusalimiana,kutaniana,kuzikana,kuzungumza na kufanya kazi pamoja.
Lakini kuna kikundi cha watu wachache sana ambao wanataka kuharibu amani ya nchi hii na mataifa kwa ujumla.ni kikundi chenye fedha,wataalamu na mikakati mifupi na mirefu yenye malengo maalumu ambayo hayana tija kwa waislamu,wakristu na wapagani.

Kwa mwelekeo ulivyo tunazidi kuzama kwenye jahazi la ugaidi(wala sio udini)

kuna mtu aliwahi kuleta thread hapa jamvini kwamba ameona kundi la vijana wakiwa kwenye mafunzo ya karate na dini huko njiro Arusha,kuna mtu yoyote anayewafuatilia kujua lengo la mafunzo hayo ni lipi?wakitoka hapo wanaenda wapi?je serikali inafahamu au kuratibu mafunzo ya namna hii?

Kimsingi hoja yangu inataka kujikita katika kuanzishwa kwa kikosi maalumu cha kupambana na ugaidi(counter terrorism unit) ili kufuatilia nyendo za magaidi nchini.
Hivi karibuni tunaweza kuwa wachimbaji wazuri wa madini ya urani ,sitegemei kama magaidi watakaa mbali na nchi yetu!tusisubiri kufika maeneo ya matukio na kutoa pole bali tujipange kwa kuepusha ugaidi.

Ni vizuri sheria ya ugaidi ikapitiwa vizuri kuona kama inaruhusu/itaruhusu kuundwa kwa kikosi hiki maalumu cha kupambana na ugaidi.
Ni aibu pia kwamba kila wakati tunahitaji msaada wa CIA,FBI ili kufuatilia matukio ya kigaidi ni vyema tukawa na CTU yetu!



Kikosi cha kupambana na ugaidi kipo, kinajumuisha TISS, migration,jwtz,magereza na Polisi
 
Mi nafkiri jeshi la polisi linatosha,kwani ki-intelligence wapo vizuri mno yani mno sana nawafwagilia..

A lie has speed,but truth has endurance
 
Kwa taarifa rasmi zilizopatikana. Watanzania wanaotumiwa na wageni ni. No:1 Ni Shekhe Fareed wa Zamzibar (Pia ana mawasiliano na Al shaabab),No. 2 Shekhe Ponda (Pia ana mahusiano na Al queda), Ustaadh Ilunga, Shekhe Ally Basaleh. Pia kuna waadhili wa Chuo kikuu cha waislam Morogoro nao wanatumiwa.
 
Kwa taarifa rasmi zilizopatikana. Watanzania wanaotumiwa na wageni ni. No:1 Ni Shekhe Fareed wa Zamzibar (Pia ana mawasiliano na Al shaabab),No. 2 Shekhe Ponda (Pia ana mahusiano na Al queda), Ustaadh Ilunga, Shekhe Ally Basaleh. Pia kuna waadhili wa Chuo kikuu cha waislam Morogoro nao wanatumiwa.

Natumai huu ni msimamo wa CDM pia.
 
Tz hamna ugaidi kuna udini thats the hard truth we need to face and tackle it
 
Mi nafkiri jeshi la polisi linatosha,kwani ki-intelligence wapo vizuri mno yani mno sana nawafwagilia..

A lie has speed,but truth has endurance

nasikia polisi walikuwepo kulinda usalama siku ile kanisa la Olasiti linalipuliwa.
 
Kikosi cha kupambana na ugaidi kipo, kinajumuisha TISS, migration,jwtz,magereza na Polisi
kilianzishwa mwaka gani?kilianzishwa kwa sheria ipi?kina weledi au utaalamu upi?
 
Tz hamna ugaidi kuna udini thats the hard truth we need to face and tackle it

udini ni imani ya watu wachache sana ndani ya Tanzania.familia yangu ina mchanganyiko wa waislamu na wakristu,hakuna siku waliowahi kuhititalafiana kidini mpaka sasa lakini wote wanashutumu mashambulizi yaliyotokea.
 
Tuwe tayari kupeleka vijana wetu watiifu kupata mafunzo adimu(special training) hata kama ni watano kwa mwaka lakini mwisho wa siku tuwe na kikosi kamili.

mkuu sidhani kama watawala wa sasa wanaweza fanya maamuzi ya aina hii kwasababu baadhi yao ni washirika wa kikundi hiki kinacho zalisha magaidi hapa tanzania. makundi yenye itikadi kali ambayo hata nchi zenyewe za kiislamu zinapambana nayo,hapa tanzania yameachwa kufanya uchochezi bila hatua zozote kuchukuliwa!
 
nasikia polisi walikuwepo kulinda usalama siku ile kanisa la Olasiti linalipuliwa.

Ndio maana nikakwambia wapo makini sana!wanahitaji tuzo/nishani.

A lie has speed,but truth has endurance
 
udini ni imani ya watu wachache sana ndani ya Tanzania.familia yangu ina mchanganyiko wa waislamu na wakristu,hakuna siku waliowahi kuhititalafiana kidini mpaka sasa lakini wote wanashutumu mashambulizi yaliyotokea.

Hicho ndicho tunachokipigia kelele Watanzania waislam na wakristo kwa asili hatuna ugomvi ila serikali na Chama cha Mapinduzi kinajaribu kutugawa kwa dini zetu
 
Munafikiri kuwasingia ugaidi waislam na masheikh wetu ndo patakua na amani tanzania? Jaribuni basi tukose sote. Kila secta ya serikali ni wagalatia hatuwezi kubali hata mutuite magaidi.
 
Munafikiri kuwasingia ugaidi waislam na masheikh wetu ndo patakua na amani tanzania? Jaribuni basi tukose sote. Kila secta ya serikali ni wagalatia hatuwezi kubali hata mutuite magaidi.

Hawa wote ni Wagalatia???!!

JK,-------Rais
Gharib BIlali - Makamu wa Rais
Nahodha - Waziri wa ulinzi
Dr Mwinyi - waziri wa afya
Othman - Mkurugenzi usalama wa taifa
Othman - Jaji mkuu
Kawamwa-Waziri wa elimu
weka mawaziri kibao waislamu unaowajua...

66% wakuu wa wilaya ni waislamu
19 wakuu wa mikoa bara kati ya 26 ni waislamu.
hapo bado mashirika kama nssf etc etc

TUMIA KICHWA UNAPOKUFIKIRI
 
Cdm mjue waislam wapo na watakuwepo fitina zenu haziwezi kafanikiwa
 
Munafikiri kuwasingia ugaidi waislam na masheikh wetu ndo patakua na amani tanzania? Jaribuni basi tukose sote. Kila secta ya serikali ni wagalatia hatuwezi kubali hata mutuite magaidi.

unadhani utawamaliza wagalatia kwa Tindikali?
 
Tuwe tayari kupeleka vijana wetu watiifu kupata mafunzo adimu(special training) hata kama ni watano kwa mwaka lakini mwisho wa siku tuwe na kikosi kamili.

Naomba kuwa mojawapo watakaoenda kwenye mafunzo. Najuta kukataa mwito wa kuilinda nchi yangu. Naamini ningezuia baadhi ya vitu visifikie level hii, better late than never!
 
Back
Top Bottom