Pendekezo:Kikosi maalum cha kupambana na ugaidi

Pendekezo:Kikosi maalum cha kupambana na ugaidi

Hawa wote ni Wagalatia???!!

JK,-------Rais
Gharib BIlali - Makamu wa Rais
Nahodha - Waziri wa ulinzi
Dr Mwinyi - waziri wa afya
Othman - Mkurugenzi usalama wa taifa
Othman - Jaji mkuu
Kawamwa-Waziri wa elimu
weka mawaziri kibao waislamu unaowajua...

66% wakuu wa wilaya ni waislamu
19 wakuu wa mikoa bara kati ya 26 ni waislamu.
hapo bado mashirika kama nssf etc etc

TUMIA KICHWA UNAPOKUFIKIRI
Someni na nyinyi mpate hizo nafasi,wenzenu wanasoma,nyiny kazi kushinda kwenye vijiwe vya vrobo.Wafikiri hao wangekuwa wanashinda kwenye viroba,wangefika hapo?Acheni kulia lia,mshike sana Bwana elimu.
 
Kwa taarifa rasmi zilizopatikana. Watanzania wanaotumiwa na wageni ni. No:1 Ni Shekhe Fareed wa Zamzibar (Pia ana mawasiliano na Al shaabab),No. 2 Shekhe Ponda (Pia ana mahusiano na Al queda), Ustaadh Ilunga, Shekhe Ally Basaleh. Pia kuna waadhili wa Chuo kikuu cha waislam Morogoro nao wanatumiwa.

Maneno yako na jina lako vinafafana kabisa! teh teh teh !
afadhali ungejiita KENDE! lkn Kakende ?? yaani kadogo tu kama ka paka! kakiwa na vinyweleo ndio kabisaa hata hakionekani!

wewe ni kimoja ktk vile vikende viingi vya kigalatia!! Vilivyozagaa mitaani!
akili kuambiwa, maskini mtoto wa kufikia!

na haya ndio matatizo ya kuzaliwa bila kumfahamu baba yako ni nani!! matokeo yake mama anaamua kukupa jina la kiungo alichokuwa anakipendelea kukichezea chezea wakati wa mfazaiko chobis!! teh teh teh the!

WE UNAJUA FIKA KUWA HIO MIAMBA ULIOITAJA HAPO JUU! IKIKUTIA MKONONI MTU KAMA WEWE BASI ITAKAFINYA HAKO Kakende KAKO MPAKA UKOJOE!


Una bahati uko mbali,hako Kakende kako ningekaminya mimi mwenyewe!



cc Ritz Tayeb
 
Last edited by a moderator:
tanzania kwa mara nyingine tena inashuhudia tukio la pili la kigaidi ambalo limevuta hisia kutoka jamii mbalimbali za kimataifa.ukiacha tukio la kulipuliwa kwa ubalozi wa marekani utaona tukio la olasiti linazidi kudhihirisha kuwa tanzania yaweza kuwa eneo linalotoa mwanya kwa magaidi kupanga na kutekeleza mashambulizi ya kigaidi iwe ndani ya tanzania au nchi za jirani.
Tumewahi kusikia kuwa mmoja wa waliolipuwa mabomu huko kampala na kuleta madhara kwa wale waliokuwa wakifuatilia fainali za kombe la dunia alikuwa ni mtanzania/aliishi tanzania.

Kwa maoni yangu watanzania ni wamoja mno nikimaanisha pamoja na matukio kadhaa ya misuguano ya kidini bado wameendelea kusalimiana,kutaniana,kuzikana,kuzungumza na kufanya kazi pamoja.
Lakini kuna kikundi cha watu wachache sana ambao wanataka kuharibu amani ya nchi hii na mataifa kwa ujumla.ni kikundi chenye fedha,wataalamu na mikakati mifupi na mirefu yenye malengo maalumu ambayo hayana tija kwa waislamu,wakristu na wapagani.

Kwa mwelekeo ulivyo tunazidi kuzama kwenye jahazi la ugaidi(wala sio udini)

kuna mtu aliwahi kuleta thread hapa jamvini kwamba ameona kundi la vijana wakiwa kwenye mafunzo ya karate na dini huko njiro arusha,kuna mtu yoyote anayewafuatilia kujua lengo la mafunzo hayo ni lipi?wakitoka hapo wanaenda wapi?je serikali inafahamu au kuratibu mafunzo ya namna hii?

Kimsingi hoja yangu inataka kujikita katika kuanzishwa kwa kikosi maalumu cha kupambana na ugaidi(counter terrorism unit) ili kufuatilia nyendo za magaidi nchini.
Hivi karibuni tunaweza kuwa wachimbaji wazuri wa madini ya urani ,sitegemei kama magaidi watakaa mbali na nchi yetu!tusisubiri kufika maeneo ya matukio na kutoa pole bali tujipange kwa kuepusha ugaidi.

Ni vizuri sheria ya ugaidi ikapitiwa vizuri kuona kama inaruhusu/itaruhusu kuundwa kwa kikosi hiki maalumu cha kupambana na ugaidi.
Ni aibu pia kwamba kila wakati tunahitaji msaada wa cia,fbi ili kufuatilia matukio ya kigaidi ni vyema tukawa na ctu yetu!

we huna habari kuwa ktk makundi ya kigaidi duniani fbi na cia wanaongoza?? Au kwa sababu wanavaa suti na tai ndio unadhani waungwana??
 
Nasikia hata China karibia wote ni magaidi wanacheza kareti.
 

Maneno yako na jina lako linafafana kabisa! teh teh teh ! afadhali ungejiita KENDE! lkn Kakende ?? yaani kadogo tu kama ka paka! kakiwa na vinyweleo ndio kabisaa hata hakionekani!

wewe ni kimoja ktk vile vikende viingi vya kigalatia!! akili kuambiwa, maskini mtoto wa kufikia!

na haya ndio matatizo ya kuzaliwa bila kumfahamu baba yako ni nani!! matokeo yake mama anakupa jina la kiungo alichokuwa anakipendelea kukichezea chezea wakati wa mfazaiko chobis!! teh teh teh the!

WE UNAJUA FIKA KUWA HIO MIAMBA ULIOITAJA HAPO JUU! IKIKUTIA MKONONI MTU KAMA WEWE BASI ITAKIFINYA HAKO Kakende KAKO MPAKA UKOJOE!


Una bahati uko mbali,hako Kakende kako ningekaminya mimi mwenyewe!



cc Ritz Tayeb

Mkuu mbokaleo, huyo mjinga mpumbav.u hasikushughulishe kaka!

Huyo sio level yako, sisi tutaongea na mwenye Mbwa na sio yeye!
 
Last edited by a moderator:
Someni na nyinyi mpate hizo nafasi,wenzenu wanasoma,nyiny kazi kushinda kwenye vijiwe vya vrobo.Wafikiri hao wangekuwa wanashinda kwenye viroba,wangefika hapo?Acheni kulia lia,mshike sana Bwana elimu.


jitahidi uwe unaelewa post kabla ya kucomment
 
Tz hamna ugaidi kuna udini thats the hard truth we need to face and tackle it

Kwani ni nini hassa maana ya gaidi??
Kwa sababu nilipo angalia MAANA HALISI YA UGAIDI NIKAGUNDUA KUWA MFUMO KRISTO PIA NI UGAIDI!
 

Maneno yako na jina lako vinafafana kabisa! teh teh teh !
afadhali ungejiita KENDE! lkn Kakende ?? yaani kadogo tu kama ka paka! kakiwa na vinyweleo ndio kabisaa hata hakionekani!

wewe ni kimoja ktk vile vikende viingi vya kigalatia!! Vilivyozagaa mitaani!
akili kuambiwa, maskini mtoto wa kufikia!

na haya ndio matatizo ya kuzaliwa bila kumfahamu baba yako ni nani!! matokeo yake mama anaamua kukupa jina la kiungo alichokuwa anakipendelea kukichezea chezea wakati wa mfazaiko chobis!! teh teh teh the!

WE UNAJUA FIKA KUWA HIO MIAMBA ULIOITAJA HAPO JUU! IKIKUTIA MKONONI MTU KAMA WEWE BASI ITAKAFINYA HAKO Kakende KAKO MPAKA UKOJOE!


Una bahati uko mbali,hako Kakende kako ningekaminya mimi mwenyewe!



cc Ritz Tayeb
Dr. kahtaan,

Teh teh teh utanipasua mbavu huyo jamaa ana akili kama ID yake kakende.
 
Last edited by a moderator:
kwa taarifa rasmi zilizopatikana. Watanzania wanaotumiwa na wageni ni. No:1 ni shekhe fareed wa zamzibar (pia ana mawasiliano na al shaabab),no. 2 shekhe ponda (pia ana mahusiano na al queda), ustaadh ilunga, shekhe ally basaleh. Pia kuna waadhili wa chuo kikuu cha waislam morogoro nao wanatumiwa.


uchonganishi ndugu yangu, una ushahidi?
 
uchonganishi ndugu yangu, una ushahidi?

Ushahidi aupate wapi ? We huoni hata jina lake?? Anaitwa Kakende!! Sasa hebu jiulize hako Kakende hua kanapatikana sehemu gani ya mwili??
Na je kana thamani yyt ya kukaonyesha hata mbele ya watu??
Ukipata jibu hapo ndio utafahamu kuwa huyo Kakende akili zake zinafanana na hilo jina lake Kakende
 
Last edited by a moderator:
Kikosi cha kupambana na ugaidi kipo katika Jeshi la Polisi - Kikosi cha Kutuliza Ghasia na kinaitwa Crisis Response Team (CRT). Kilipata mafunzo maalum huko Marekani.
 
Kikosi cha kupambana na ugaidi kipo katika Jeshi la Polisi - Kikosi cha Kutuliza Ghasia na kinaitwa Crisis Response Team (CRT). Kilipata mafunzo maalum huko Marekani.

Teh teh teh teh! Mkuu usinivunje mbavu asubui hii!
Hicho kikosi kilichopata mafunzo marekani ndio kile kilichokimbizwa na wamachinga na mawe tu? Au kuna kingine kimejificha kinasubiri alshabab tu!
Hebu nijuze kidogo!
 
Kikosi cha nini, Hapa Tanzania MAGAIDI yanajulikana kuwa ni CHADEMA.

Ndio waliowamwagia tindikali wale watalii zanzibar?
Ndio waliompiga risasi padri kule Zanzibar?
Ndio walioanzisha vurugu za kuchinja buseresere na kumuua mchungaji?
Ndio walijitupia bomu kule kwenye mkutano wa kampeni Arusha?
Ndio waliotega bomu kwenye kanisa la kkkt Dar?
Ndio waliochoma moto kanisa la Wasabato Dar?

Hebu angalau azima akili za mwanao uzitumie maana naona zako zimeoza!
 
Hawa wote ni Wagalatia???!!

JK,-------Rais
Gharib BIlali - Makamu wa Rais
Nahodha - Waziri wa ulinzi
Dr Mwinyi - waziri wa afya
Othman - Mkurugenzi usalama wa taifa
Othman - Jaji mkuu
Kawamwa-Waziri wa elimu
weka mawaziri kibao waislamu unaowajua...

66% wakuu wa wilaya ni waislamu
19 wakuu wa mikoa bara kati ya 26 ni waislamu.
hapo bado mashirika kama nssf etc etc

TUMIA KICHWA UNAPOKUFIKIRI

Mkuu unadhani hawa maamuma wanafikiria?
Hebu fikiria mtoa mada amekuja na mada ya kupinga ugaidi suala ambalo lilitakiwa kila mpenda amani aliunge mkono lakini hawa wanalipinga,huoni kuna uwalakini hapo?
 
Teh teh teh teh! Mkuu usinivunje mbavu asubui hii!
Hicho kikosi kilichopata mafunzo marekani ndio kile kilichokimbizwa na wamachinga na mawe tu? Au kuna kingine kimejificha kinasubiri alshabab tu!
Hebu nijuze kidogo!
Hawa wametokana na vikosi vya FFU lakini hawafanyi kazi za FFU bali ni kikosi maalum(crack unit).Wamefunzwa mbinu mbalimbali za kupambana na vitendo vya kigaidi kama utekaji nyara n.k.
 
Hawa wametokana na vikosi vya FFU lakini hawafanyi kazi za FFU bali ni kikosi maalum(crack unit).Wamefunzwa mbinu mbalimbali za kupambana na vitendo vya kigaidi kama utekaji nyara n.k.

Hawa unao wataja hapa mbona hatujawahi kuwaona kwenye action!
Au mkuu umewasoma kwenye kile kitabu cha WILI GAMBA!
teh teh teh teh!
 
Kwani ni nini hassa maana ya gaidi??
Kwa sababu nilipo angalia MAANA HALISI YA UGAIDI NIKAGUNDUA KUWA MFUMO KRISTO PIA NI UGAIDI!

Maana ya ugaidi ni mauji ya watu wasio na hatia kwa jina la Allah katika kutokana na mafundisho ya Madrasa,Mtu anayefanya mauji hayo ya binadamu wenzie wasio na hatia atapewa wanawake mabikra 100 peponi
 
Maana ya ugaidi ni mauji ya watu wasio na hatia kwa jina la Allah katika kutokana na mafundisho ya Madrasa,Mtu anayefanya mauji hayo ya binadamu wenzie wasio na hatia atapewa wanawake mabikra 100 peponi

Haya ndio matatizo ya kuchanganya bangi na kubeli ukateremshia na gongo!
Hii tafsiri ndio umejifunza kanisani sio!?
Mnfnsssssssssss!
 
Back
Top Bottom