Wapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi mkuu?
GODZILLA anataka umpe hela wakili msomi!!Wapi mkuu?
Ni sheria mkuu imepitishwa na wabunge aliochanguliwa na wananchi hivyo ni sheria iliyopitishwa na watz wenyewe.Kwanza ni kwa nini kesi hizo za utakatishaji fedha na makosa ya kimtandao zisiwe na dhamana?
Kesi ili iwe mahakamani ni lazima kuwe na ushahidi na kuendelea kumshikilia mtu kwa kisingizio kwamba ushahidi haujakamilika ni kinyume cha sheria.
Nimemwambia aje achukueGODZILLA anataka umpe hela wakili msomi!!
Unajua kwamba mahakama inaweza kukataa sheria inayoviza mahakama kufanya kazi zake kwa uhuru? Halafu hapa sheria ya kuendesha kesi haibagui aina ya kesi kwenye uendeshaji wa kesi.Ni sheria mkuu imepitishwa na wabunge aliochanguliwa na wananchi hivyo ni sheria iliyopitishwa na watz wenyewe.
Mtumie kwa M-Pesa.Nimemwambia aje achukue
Subiri kaka yako akitekwa ndo utajua kuwa uko busy au sio. Sasa unadai umasheherekea Xmas lakini kumbuka kuna watu hawasheherekei kwa kuwa hawajui mahali wapendwa wao walipo!Hela ya hizo bia ndiyo tatizo... SINA.
UCD huu ni ujumbe wako ndugu yangu!!Subiri kaka yako akitekwa ndo utajua kuwa uko busy au sio. Sasa unadai umasheherekea Xmas lakini kumbuka kuna watu hawasheherekei kwa kuwa hawajui mahali wapendwa wao walipo!
Ngoja tukuteue uwe Jaji ukarekebishe mambo wakili msomiUnajua kwamba mahakama inaweza kukataa sheria inayoviza mahakama kufanya kazi zake kwa uhuru? Halafu hapa sheria ya kuendesha kesi haibagui aina ya kesi kwenye uendeshaji wa kesi.
Ili kesi ifike mahakamani ni LAZIMA iwe na ushahidi toshelevu siyo mambo ya hisia hisia tu.
Ndugu yangu hawezi kutekwa anafuate na kuheshimu sheria za nchi mkuu!UCD huu ni ujumbe wako ndugu yangu!!
Hoja hapa ni sheria ipo ila haifuatwi!!Ngoja tukuteue uwe Jaji ukarekebishe mambo wakili msomi
Hakuna sheria ya hivyo just your interpretation bro.Hoja hapa ni sheria ipo ila haifuatwi!!
Na sheria kuwa "Interpreted" ndiyo usheria wenyewe huo. Kama sheria itaruhusu watu kufikishwa mahakamani bila ya kuwepo kwa ushahidi wa kutosha bila ya shaka ile haki ya mtu kuwa huru kabla ya kutiwa hatiani mahakamani itakuwa imevunjwa.Hakuna sheria ya hivyo just your interpretation bro.
Hata hapa ni interpretation tu.Na sheria kuwa "Interpreted" ndiyo usheria wenyewe huo. Kama sheria itaruhusu watu kufikishwa mahakamani bila ya kuwepo kwa ushahidi wa kutosha bila ya shaka ile haki ya mtu kuwa huru kabla ya kutiwa hatiani mahakamani itakuwa imevunjwa.
Ndiyo usheria wenyewe huo. Sheria ni bubu mpaka pale inapotafsiriwa!!Hata hapa ni interpretation tu.
Kwani kaka yake Lissu na yeye si mwanasheria wa serikali, mwisho kamalolizia kumtetea ndugu yake dhidi ya serikali! Na wewe yatakukuta tu hata kama wewe ni jaji!Mimi na mahakama ni pete na kidole mkuu! Nafanyakazi huko huko mkuu
Kupelekwa mahakamani ni haki ya mtuhumiwaKitendo cha Polisi na waendesha mashtaka wa serikali kuendelea kupeleka watuhumiwa mahakamani bila ya kuwa na ushahidi wa kutosha dhidi ya tuhuma zao ni kuidharau mahakama? Kwani nini wapeleke watu mahakamani kisha waseme kuwa ushahidi haujakamilika?
Kuwa mbwa sio kosa lake. Mbwa koko ana hadhi ya kuitwa mbwa kwani anaishi kama mbwa, lakini huyo wa kufugwa ana pretend kulingana na hulka ya mfugaji. Akiwa katili naye anakuwa, muoga naye pia na hata jinsi ya kufikiri.Kwani wewe ni mbwa koko au mbwa wa kufugwa?fahamu wewe ni mbwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaotekwa ni wavunjifu wa sheria?Kwa hiyo wanatekwa halafu wanakamatwa na kufunguliwa kesi za utakatishaji fedha?Ndugu yangu hawezi kutekwa anafuate na kuheshimu sheria za nchi mkuu!