Pendekezo: Kitengo cha Upelelezi kitolewe Polisi

Pendekezo: Kitengo cha Upelelezi kitolewe Polisi

Upelelezi chini ya jeshi la polisi ni duni mno.

Hata kutambua tu taarifa za akaunti ya benki iliyopokea pesa za utapeli inachukua muda mrefu.

Namba ya simu inayopatikana hewani,kufahamu mahali ilipo napo miezi.

Hili Wazo ni muhimu kwa ajili ya kuongeza ufanisi zaidi.
 
Wanasikia basi!Kikianzishwa kitu kama hicho,watapata wakati mgumu kuwabambikizia kesi wasiowapenda!
 
Moja ya mambo ambayo yanaturudisha nyuma ni pamoja na hiki kitengo kinachoitwa cha upelelezi ambacho hadi sasa ni sehemu ya Jeshi la Polisi.

Na mara nyingine unakuta kuna tukio ambalo Polisi wanahusika na kitengo kinatakiwa kufanya upelelezi. Nadhani ni wakati sasa kukiondoa iwe taasisi inayojitegemea kama zilivyo taasisi kama hizi nchi nyingine.

Ina maana hata Rwanda wanatuzidi kufikiri vizuri. Rwanda mwaka 2018 wamekiondoa kitengo hicho Polisi na kuunda taasisi mpya inayo itwa RIB (Rwanda Investigation Bureau).

Nadhani Magufuli na Baraza lake wanaweza, jambo hili litakuwa muarobaini wa kesi nyingi ambazo zinawatesa wananchi kwa kusubiria upelelezi.

Tanzania Bureau of Investigation.

Soma pia: Jaji Mkuu achukizwa na wapelelezi wanaokamata mtuhumiwa kabla ya kukamilisha upelelezi
nikisikia neno upelelezi kwa siku za karibuni nasikia masikio yangu yakivuma "tocha tocha"
 
Moja ya mambo ambayo yanaturudisha nyuma ni pamoja na hiki kitengo kinachoitwa cha upelelezi ambacho hadi sasa ni sehemu ya Jeshi la Polisi.

Na mara nyingine unakuta kuna tukio ambalo Polisi wanahusika na kitengo kinatakiwa kufanya upelelezi. Nadhani ni wakati sasa kukiondoa iwe taasisi inayojitegemea kama zilivyo taasisi kama hizi nchi nyingine.

Ina maana hata Rwanda wanatuzidi kufikiri vizuri. Rwanda mwaka 2018 wamekiondoa kitengo hicho Polisi na kuunda taasisi mpya inayo itwa RIB (Rwanda Investigation Bureau).

Nadhani Magufuli na Baraza lake wanaweza, jambo hili litakuwa muarobaini wa kesi nyingi ambazo zinawatesa wananchi kwa kusubiria upelelezi.

Tanzania Bureau of Investigation.

Soma pia: Jaji Mkuu achukizwa na wapelelezi wanaokamata mtuhumiwa kabla ya kukamilisha upelelezi
Hujawi jaa kwenye anga za hao majamaa siku ukijaa ndiyo utajua hiyo mijamaa unalijua wewe tokea siku unazaliwa
 
Wacha jeshi lifanye kazi yake
Kwani unapungukiwa nini upelelezi kuwa polisi?
Nyie polisi hivi kwa nini uwezo wa kujenga hoja wengi wenu hamna? Jamaa kaandika kwa maelezo mepesi hata mtoto wa darasa la kwanza angeelewa.
 
Nakuunga mkono yaani polisi wa upelelezi wengi hawajui majukumu yao kazi kuomba pesa ya vocha .
Kukiwa na kitengo kinachojitegemea kwanza watakaoingia kule watachujwa pili kutakuwa na uwajibikaji.
 
Moja ya mambo ambayo yanaturudisha nyuma ni pamoja na hiki kitengo kinachoitwa cha upelelezi ambacho hadi sasa ni sehemu ya Jeshi la Polisi.

Na mara nyingine unakuta kuna tukio ambalo Polisi wanahusika na kitengo kinatakiwa kufanya upelelezi. Nadhani ni wakati sasa kukiondoa iwe taasisi inayojitegemea kama zilivyo taasisi kama hizi nchi nyingine.

Ina maana hata Rwanda wanatuzidi kufikiri vizuri. Rwanda mwaka 2018 wamekiondoa kitengo hicho Polisi na kuunda taasisi mpya inayo itwa RIB (Rwanda Investigation Bureau).

Nadhani Magufuli na Baraza lake wanaweza, jambo hili litakuwa muarobaini wa kesi nyingi ambazo zinawatesa wananchi kwa kusubiria upelelezi.

Tanzania Bureau of Investigation.

Soma pia: Jaji Mkuu achukizwa na wapelelezi wanaokamata mtuhumiwa kabla ya kukamilisha upelelezi
Mmh.

Lakini hata hiko kitengo kikiundwa kikawa kinajitegemea huoni kuwa kuna mambo yatafanywa na wao wemyewe watu wa kitengo alafu ikapelekea kusuasua kwa upelelezi kama wanavyofanya polisi kusuasua ?
 
Back
Top Bottom