nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Zipo kibao zinasanya kwa buku...full kiyoyozi aiseeMmh buku na kiyoyozi juu[emoji57]
Atlist 2000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo kibao zinasanya kwa buku...full kiyoyozi aiseeMmh buku na kiyoyozi juu[emoji57]
Atlist 2000
JF bhana!Umewahi miliki gari?
Sema level seat itakuwa unyama sana yani tena ikibidi iwe full kiyoyozi ndani😂Una wazo zuri sana. Kusema kweli dala dala za Dar ni kero mbaya sana.
Zipo Noah pale station kwenda mbagala nauli nafikiri ni hio hio buku. ILA hawa hawako kibiashara ni mtu anaamua kutafuta hela ya mafuta anabeba watu asubuhi akienda kazini na akirudi jioni.Zipo kibao zinasanya kwa buku...full kiyoyozi aisee
Hizo nauli ni plates za chakula kwetu sisi wanyonge! Nauli iwe buku tu sio zaidiMbona hizo VIP zipo sana kuanzia saa 11 alfajili. Inaelekea unalala sana. Shida kubwa ipo kwa LATRA hawa wanaleta msongamano wa magari jijini. Wanaua route kijinga sana wanatakiwa watengeneze route ndefu mfano Simu 2000 Chalinze ama simu 2000 Bagamoyo. Ukishakuwa na route ndefu unapunguza sana uwepo wa vituo vidogo vidogo vingi ambavyo havina sababu. Hili la VIP route wangelianzisha hawa DART mwendokasi. Wangekuwa na VIP muda wa asubuhi na jioni. Mbezi Kivukoni 3000 na Kimara kivukoni Tshs 2500. Pia wafanye na kariakoo watahudumia hasa.
Wengi wanasahau hilo.Kujali nauli lazima kwasababu haina maana ikiwa nauli hio itazidi au kukaribia gharama za mafuta atakayotumia kwa gari yake. Pia wengi wanatoka ndani kidogo sio barabara kuu ambapo kufika main road itabidi achukue boda mwisho wa siku atatumia 8000/- kwenda na kurudi ambayo akiweka kwenye gari yake inatosha.
Hapa wanazungumziwa wasio wanyonge. Wanyonge kwetu kwenye daladala 🤣Hizo nauli ni plates za chakula kwetu sisi wanyonge! Nauli iwe buku tu sio zaidi
Yaa, hili nalo ni angalizo....maana unaweza kutumia pesa nyingi zaidi ukaona bora utumie gari lako. Nafikiri waziweke tu ila wawe makini kwenye kupanga nauli zisiende juu sana, labda ziwe kati ya 1,000 na 2000.Wengi wanasahau hilo.
Utoke bonyokwa hadi stand kuu na suti yako?
Ushuke Morroco uende TMJ na suti yako kwa boda?
Ofisi nyingi hazipo arround stand.
Kujali nauli lazima kwasababu haina maana ikiwa nauli hio itazidi au kukaribia gharama za mafuta atakayotumia kwa gari yake. Pia wengi wanatoka ndani kidogo sio barabara kuu ambapo kufika main road itabidi achukue boda mwisho wa siku atatumia 8000/- kwenda na kurudi ambayo akiweka kwenye gari yake inatosha.
Yaani mtu alipe 6000 ambayo ni sawa na lita 2.5 ambayo ni kama km 16 tena asiwe na privacy?Huu uzi umewalenga Wale wenye magari binafsi, kwa hiyo nauli hata kama itakuwa ni tzs 5,000 bado ni ndogo kwao na wanamudu. Na lengo ni kupunguza Foleni
Point ya msingi ya kuzingatia ni kuwa, Wale wenye magari binafsi, wako tayari kuacha magari nyumbani na kutumia usafiri wa umma ulioboreshwa, bila kujali ghalama ya nauli kuwa kubwa, wao wanachotaka ni ubora wa huduma ya usafiri. Root
Hii ni nzuri sana, ila 3000 ni kubwa sana labda 1000 meaning one way mtu ana uhakika wa 28K kule Morogoro kuna bus mbili ninasafiri kati ya Morogoro na Gairo, hakuna abiria kusimama, na ni nadra kuchukua abiria wa njiani kama ikiwa imeeneza abiria kwenye vitiNilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Ni hiariYani nipandie mwenge nishuke morroco halafu nilipe buku 3?
Ni hiari hulazimishwiYaani mtu alipe 6000 ambayo ni sawa na lita 2.5 ambayo ni kama km 16 tena asiwe na privacy?
Abiria watakuwepo Wa kutosha?,ni wazo zuri pia .Hili ni wazo zuri, hao matajiri walifanyie upembuzi yakinifu.
Nadhani hoja yake ni kwamba kukiwa na coaster moja ikapakiwa watu 28 maana yake kuna magari matano yataondoka kwenye msongamano na ikiwa kuna coaster 5 basi kuna magari 25 yataondoka kwenye msongamanoHivi foleni husababishwa na magari?
Kumbe magari yako mengi
Ova