Pendekezo: Kuwe na Daladala VIP kukabiliana na foleni

Pendekezo: Kuwe na Daladala VIP kukabiliana na foleni

Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.

Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.

Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.

Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.

Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Wazo zuri sana, mtu akilipolish vizuri anapata kitu.
 
Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.

Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.

Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.

Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.

Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Bonge la idea!
 
Abiria wapo ila hawapo tayari kupanda daladala ya buku 3 ikiwa wana uwezo wa kuweka mafuta ya laki kila baada ya siku 4!
Ndo mi nilkuwa najiuliza yani mbongo amiliki Gari afu apande daladala kweli.yani atoke ofisini atembee kwa mguu hadi kituo cha hizo daladala,vigari vingi baby walker yani unywaji wake Wa mafuta ni sawa na mtoto anavyokuwa ananyonya ile chupa ya maziwa mdomdo.
 
Ndo mi nilkuwa najiuliza yani mbongo amiliki Gari afu apande daladala kweli.yani atoke ofisini atembee kwa mguu hadi kituo cha hizo daladala,vigari vingi baby walker yani unywaji wake Wa mafuta ni sawa na mtoto anavyokuwa ananyonya ile chupa ya maziwa mdomdo.
Ingekuwa ulaya sawa ila mmbongo ananunua gari kama status symbol kuwa anazo hela halafu apaki apande daladala😂??? Hio itakuwa ngumu kidogo...
 
Ingekuwa ulaya sawa ila mmbongo ananunua gari kama status symbol kuwa anazo hela halafu apaki apande daladala😂??? Hio itakuwa ngumu kidogo...
Ni ngumu hata Mimi sikubali.
Labda mleta mada angewalenga haohao wapanda dala humihumo kuna VIP s ambao hawamiliki magari ila wana uwezo kipesa.

Mwisho Wa siku vyombo vya usafiri vinaingiza kipato kikubwa katika uchumi kuliko hata vinywaji vikali,kuanzia uagizaji,usajili,bima,mafuta.

Alafu nyie mlioko huko dasarama mbona tunaskia Mfugale alimaliza mambo ya foleni.
 
Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.

Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.

Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.

Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.

Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Kuliko kujenga daraja kutoka masaki hadi mjini, wajenge reli za treni la juu kuunganisha viunga vyote vya hilo jiji kuondosha msongamano barabarani
 
Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.

Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.

Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.

Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.

Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Wazo zuri sana.
 
Baada ya UKAWA kushinda nakushika halmashauri zote jiji LA dar esalam walikuja na mpango kabambe wakuibomoa dar nakujenga upya.

Fedha zakujenga upya dar ulikua nimkopo toka ujerumani wakati mkopo ule umeiva magufuli na ccm yake walivosikia mpango huo njia aliyoiona magufuli na ccm nikupokonya uhalali wa ukusanyaji kodi ngazi ya halmashauri...jiji likakosa sifa kupata mkopo kwani wangelipaje deni hilo akati hawana mapato.


Hii ndoccm na uongozi wake.....bana
 
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.

Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.

157771526_3769995233095177_118199218498222062_n.jpg
 
Back
Top Bottom