Kuna watu wanaenda Maofisini kwa uba kila siku kwa zaidi ya shilingi 10,000 kwa siku.Yaani mtu alipe 6000 ambayo ni sawa na lita 2.5 ambayo ni kama km 16 tena asiwe na privacy?
Ubinafsi huoMimi walete tu
Nimechoka kubambbiwa kwenye mwendokasi
Wazo zuri sana, mtu akilipolish vizuri anapata kitu.Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Bonge la idea!Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Abiria wapo ila hawapo tayari kupanda daladala ya buku 3 ikiwa wana uwezo wa kuweka mafuta ya laki kila baada ya siku 4!Abiria watakuwepo Wa kutosha?,ni wazo zuri pia .
Ndo mi nilkuwa najiuliza yani mbongo amiliki Gari afu apande daladala kweli.yani atoke ofisini atembee kwa mguu hadi kituo cha hizo daladala,vigari vingi baby walker yani unywaji wake Wa mafuta ni sawa na mtoto anavyokuwa ananyonya ile chupa ya maziwa mdomdo.Abiria wapo ila hawapo tayari kupanda daladala ya buku 3 ikiwa wana uwezo wa kuweka mafuta ya laki kila baada ya siku 4!
Utakuwa MashaAllahMimi walete tu
Nimechoka kubambbiwa kwenye mwendokasi
Yap wazo zurLabda root yenye mwendo kasi na ziruhusiwe kutumia njia ya mwendo kasi
Ingekuwa ulaya sawa ila mmbongo ananunua gari kama status symbol kuwa anazo hela halafu apaki apande daladalaπ??? Hio itakuwa ngumu kidogo...Ndo mi nilkuwa najiuliza yani mbongo amiliki Gari afu apande daladala kweli.yani atoke ofisini atembee kwa mguu hadi kituo cha hizo daladala,vigari vingi baby walker yani unywaji wake Wa mafuta ni sawa na mtoto anavyokuwa ananyonya ile chupa ya maziwa mdomdo.
Ni ngumu hata Mimi sikubali.Ingekuwa ulaya sawa ila mmbongo ananunua gari kama status symbol kuwa anazo hela halafu apaki apande daladalaπ??? Hio itakuwa ngumu kidogo...
Huwa wanatusaidia kupunguza stress, ukiegemea egemea hadi ufike gerezani, akili inakuwa imepoa πππUtakuwa MashaAllah
Kuliko kujenga daraja kutoka masaki hadi mjini, wajenge reli za treni la juu kuunganisha viunga vyote vya hilo jiji kuondosha msongamano barabaraniNilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Ndio aiseeUnataka kumaanisha dengelua?
Thank youKuna watu wanaenda Maofisini kwa uba kila siku kwa zaidi ya shilingi 10,000 kwa siku.
Sasa inakuaje mtu ashindwe shilingi 6,000 kwa siku.
Wazo zuri sana.Nilikuwa na wazo katika mkoa wetu Dar es Salaam nafikiri likikifanyika litapunguza msongamano wa magari kwa asilimia kubwa.
Nilikuwa nafikiria zikisajiliwa daladala za VIP ambazo zitakuwa na Air conditioning usafi wa hali ya juu zikapiga ruti mfano Tegeta- Posta kwa Tsh 3,000 na abiria wote level seat hakuna kusimamisha abiria.
Kwa asilimia kubwa watu wataacha magari binafsi nyumbani na kutumia usafiri huu kwani kwa kiasi kikubwa wataokoa gharama za matumizi ya mafuta pia zitawaepusha misongamano ya kubanana kwenye daladala na pia mtu kufika ofisini kwake akiwa bado nadhifu na bila uchovu wowote.
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.
Utakuwa MashaAllah
Kama hataki kushukia njiani kwa sababu kalipa 3000 basi aende akashukie mwisho. Kwani shida ipo wapi hapo?Nani ataekubali lipa 3000 ashukie njiani?
Usumbufu abiria wanaopata kwenye daladala za kawaida unafanya watu wengi kukopa kupata usafiri binafsi ambao ndio huongeza msongamano kwenye barabara zetu hizi.
Kwenye Mabasi ya mikoa yapo VIP na Treni pia kuna madaraja tofauti hata ndege kwa nini kwenye daladala isifanyike.