Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Ninaropkwa mimi wakati wewe unakaa na wazazi wako unaangalia muziki ya kinaDiamond ukionesha wna pombe mikononi na dada zetu waliovaa chupi na sigiria tu na bado unataka serkali impe diplomatic PP. wangepewa Akina JZ na Diddy kwanza kwao huko. Akiwa na.diplomatic PP akienda South hata kama atakamatwa na aunga basi hawezi kushtakiwa mpaka serikali ya TZ ikubali. Kuishauri serikali impe Diamond diplomatic PP ni sawa na wewe kusema kwamba ukikutana nae.Airport Chin na akikupa begi lake umbebee mpaka mupite Customs basi utambebea!
Mbona hata hao Pdidy na Jay z video za nyimbo zao hazina maadili kabisa afadhali za mondi unakuta wasichana wanalambana ulimi.
 
Mbona hata hao Pdidy na Jay z video za nyimbo zao hazina maadili kabisa afadhali za mondi unakuta wasichana wanalambana ulimi.
Thats my f*king point! Ni uhuni tu hamna lolote. Besides, huo muziki wa diamond ni kinyume kabisa na utamaduni wetu. Wewe dogo usinipotezee muda wangu. Naona unarejea yale yale niliyokwambia tayari! Katembelee wazee wako na wagonjwa kuwatakia baraka!
 
Back
Top Bottom