Pendekezo la Sheria Mpya upigaji Penati

Pendekezo la Sheria Mpya upigaji Penati

Gautten Potten

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
1,642
Reaction score
3,426
FB_IMG_17395344965608443.jpg


Colina Pierluigi moja ya marefa Bora katika Historia ya soka na Mwenyekiti wa marefa wote toka shirikisho la mpira duniani FIFA.

Amenukuliwa akitoa pendekezo kuhusu upigaji mpya wa penati zitakazo patikana ndani ya dakika za mchezo kuwa Kama zile za Matuta Yani unapiga Mara moja ukikosa au kuchezwa na kipa imeisha hiyo.

Wewe Kama mdau na mpenda maendeleo ya soka unakubali mapendekezo haya ?
 
-Ndani ya dakika 90' au 120' penati ikipigwa ikarudi(kipa kutema au kugonga mwamba) mpira unaendelea kuchezwa kwa mabeki kuondosha au timu pinzani kujaribu kufunga.

-Kama ni mda wa penati baada ya dakika 90' au 120' mpigaji akishakosa imeisha iyoo

Naona hamna tatizo ibaki hivyo

Tatizo ni mambo ya kusita (kudeshi kipa) huu ni utapeli kabisa iweje mpiga penati adeshi na aruhusiwe kupiga.

Maoni: mpiga penati akishaanza kujongea ili apige hatakiwi kusita akisita penati irudiwe na apewe kadi ya njano.
 
Mada kama hizi ndiyo unaona sasa watu wanao fatilia mpira wapi bendera fata upepo. Pitia comments tu.
 
Kwani sasa si hivyohivyo au kuna kurudia kupiga tena ukikosa
kuna Ile kipa anaweza shindwa shika na kutemea ndani au ikagonga mwamba ikarudi uwanjani ruhusa kurudia
Ila warudiaji sio wewe uliyepiga mara yakwanza ...wachezaji wengine kwenye timu yako
 
Penalt inampa kipa chance ndogo sana ya kuokoa mpira. Mpigaji anaruhusiwa kuanzia mbali hadi anakwenda kupiga mpira, ila kipa anatakiwa asitoke kwenye line kabla ya mpira kupigwa 🤔 hii nayo imekaa kibwege sana
 
Back
Top Bottom