PENDEKEZO: Masomo ya uwakili yafundishwe kwenye course ya Sheria Chuo Kikuu kwa mwaka wa Nne. Law school ifutwe

PENDEKEZO: Masomo ya uwakili yafundishwe kwenye course ya Sheria Chuo Kikuu kwa mwaka wa Nne. Law school ifutwe

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kwa hali iliyopo na inayoendelea TLS ninashauri Law school ifutwe na badala yake degree ya sheria iliyokuwa inasomwa kwa miaka mitatu sasa isomwe kwa miaka mine Ili mwaka wa nne wasome masomo ya Law school wakiwa chuo kikuu husika.

Wanafunzi akishamaliza degree ya sheria awe tayari amemaliza kozi ya Uwakili kwa wakati mmoja.

Pia LST ni shule moja tu nchini imekuwa na ukiritimba mkubwa na kuzalisha vilaza wa kuchukua fedha mitaani wananchi wakiamini kuwa ni Mawakili kumbe wametumia rushwa.
 
Na wale wa uhasibu nao CPA ifundishwe mwaka wa mwisho wa kozi zao?
 
Kwa hali iliyopo na inayoendelea TLS ninashauri Law school ifutwe na badala yake degree ya sheria iliyokuwa inasomwa kwa miaka mitatu sasa isomwe kwa miaka mine Ili mwaka wa nne wasome masomo ya Law school wakiwa chuo kikuu husika.

Wanafunzi akishamaliza degree ya sheria awe tayari amemaliza kozi ya Uwakili kwa wakati mmoja.

Pia LST ni shule moja tu nchini imekuwa na ukiritimba mkubwa na kuzalisha vilaza wa kuchukua fedha mitaani wananchi wakiamini kuwa ni Mawakili kumbe wametumia rushwa.
SS hapa kila kitu tumechukua kwa wazungu nchi gani inatumia huu mfumo uliousema
 
Ebu acheni ujinga
Fani ziheshimiwe hata akifaulu mtu mmoja iwe hivyo hivyo sio lazima wote wawe mawakili
 
hii nchi kila mtendaji wa kijiji ana uhuru wa kushauri upasuaji wa wagonjwa ufanyikaje daaah
 
Law School inatumika vibaya, ni wakati sasa wa sheria iliyounda hiyo taasisi ifanyiwe mabadiliko.
 
Kilaza huna hoja.

Wanafunzi siku hiI kazi kushinda Instagram story zao wema sepetu na diamond pamoja na kubet.

Tumepita huko tukatoka first Sitting, pumbavu kabisa.
Mkuu, kwa hiyo mtu akiwa anasoma ndio hatakiwi kufuatilia mambo mengine? Duuuh hii hatari sasa kaka mkubwa.
 
Toa ujinga wako hapa!! Unataka muendelee kuiba mitihani.
 
Kwa hali iliyopo na inayoendelea TLS ninashauri Law school ifutwe na badala yake degree ya sheria iliyokuwa inasomwa kwa miaka mitatu sasa isomwe kwa miaka mine Ili mwaka wa nne wasome masomo ya Law school wakiwa chuo kikuu husika.

Wanafunzi akishamaliza degree ya sheria awe tayari amemaliza kozi ya Uwakili kwa wakati mmoja.

Pia LST ni shule moja tu nchini imekuwa na ukiritimba mkubwa na kuzalisha vilaza wa kuchukua fedha mitaani wananchi wakiamini kuwa ni Mawakili kumbe wametumia rushwa.
Chuo gani kinafundisha 3 years?
Mimi mwaka 1994 nimemaliza udsm tumesoma 4 years, miezi 6 tulifanya field kwa mwansheria mkuu wa serikali na baadae tukafanya mtihani wa BAR ambao ilimchukua mtu miaka 7 kuwa wakili;

Kama umesoma chuo, miaka 3 jua hiyo ni twishen centre na siyo chuo na wewe ni mwanasheria mbabaishaji tu
 
Pia LST ni shule moja tu nchini imekuwa na ukiritimba mkubwa na kuzalisha vilaza wa kuchukua fedha mitaani wananchi wakiamini kuwa ni Mawakili kumbe wametumia rushwa.
Unaweza kuthibitisha kwamba kuna utumiaji wa rushwa ili graduate aweze kufaulu?
 
Back
Top Bottom