Pendekezo: Matibabu ya Malaria yawe bure

Pendekezo: Matibabu ya Malaria yawe bure

Sawa Kaka, ila wanasema imepungua...hasa Arusha
Arusha na ukanda wa juu wa Kilimanjaro HAKUNA Mtu anayepatia Malaria huko labda Mtu atoke nayo Dodoma, Liwale, Mpanda au Dsm aipeleke huko

Kwanza Female Anopheles hawezi kusurvive na kutaga mayai na kuangua kwenye hali ya hewa ya baridi na upepo wa Arusha na Moshi milimani. Pia hakuna maji yanayotuama muda mrefu mpaka yawe ni mahali pa mazaliano ya Mbu
 
Arusha na ukanda wa juu wa Kilimanjaro HAKUNA Mtu anayepatia Malaria huko labda Mtu atoke nayo Dodoma, Liwale, Mpanda au Dsm aipeleke huko

Kwanza Female Anopheles hawezi kusurvive na kutaga mayai na kuangua kwenye hali ya hewa ya baridi na upepo wa Arusha na Moshi milimani. Pia hakuna maji yanayotuama muda mrefu mpaka yawe ni mahali pa mazaliano ya Mbu
Asante kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom