Pendekezo: Mwita Waitara atolewe kwenye Unaibu Waziri

Pendekezo: Mwita Waitara atolewe kwenye Unaibu Waziri

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Ifike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.

Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze.

Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.

Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
 
Kama kweli hili limetokea Bungeni na ikadhihilika huyu Naibu Waziri mlevi ameonesha utovu wa nidhamu kwasababu ya ulevi wake; Rais hana budi kutengua uteuzi wake bila kuwa na muhari ,kama mwendazake alivyomtengua rafiki yake mpenzi aliyekuwa waziri wake wa mambo ya ndani [ Kitwanga] kwa kuingia Bungeni akiwa amelewa!! Tabia kama hiyo haina muhari ni kufukuzwa tu.
 
Wewe mwenyewe huistail kua mchangiaj humu jamiforums ifike Hatua mods waangalie Nan na Nan wachangie Yan mtu mzima na akil timam unashindwa kuandika Jina badala yake unaandika Jona how
 
Anakunywa k.vant za kupima ndiyo anaingia Bungeni.
... pamoja na fegi kubwa bila kuchambua mbegu vizuri!
1618965578586.png
 
Naibu Waziri halijui jina la raisi, hii Ni kashfa kubwa
Bunge hili lilianza kunuka ushuzi pale Sabufa alipovunja katiba aliyo apa kuilinda na kuwaingiza wale COVID 19 Bungeni wakiongozwa na Mzee halima.
Sabufa amevunja katiba mchana kweupe annaachwa hivi hivi na kulitia taifa hasara ya milioni 11 x 19 kila mwezi Kama mishahara ya COVID 19.
 
Ifike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.

Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze. Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.

Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo Kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
karma is a b!tch. Watajipukutisha wenyewe either naturally or by force.
Huyu Sura nzito km uji wa mtama kashaingia 18 za mama. karma karma
 
Tatizo Ni Ccm Wamechukua Biashara

Kama Unampa Mtoto Wako Yai Halafu Bado Analia
Unamzaba Kofi Moja,Utaona Atakavyobugia Hilo Yai
Unampa Uji Anatupa Kikombe Unajua Huyu Mtoto Ana Kiburi
JPM
😆😅😄😃😂😁😀😉😉😄😄😅😅😅
 
Wai tala ni shida

Ngoja tuone hawa hata uraia pale darasa la III mkondo C hawakuzingatia wakati wanafundishwa

Ni wa kupita nae yake walau hata makondakta

Si wanajirudia tu wale wale
 
Back
Top Bottom