Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Huyu mlevi aondolewe mara moja.Huyu Magufuli alimuweka kuwakomoa chadema. Ni makubaliano ya uasi kuwa atapewa unaibu waziri akihasi Chadema. Hivyo Samia anaweza akamuondoa maana mwenye biashara Mwendazake hayupo.
Mwambe ni mtu wa hovyo sana. Amshukuru class mate wake Dotto James ambaye alimuunganisha kwa JIWE.Ifike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.
Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze. Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.
Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo Kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
Naam atazinguana na mama haraka Sana.Anaendelea kudemka kwa style yake.
Huyo ataliwa kichwa/atazinguliwa
Anaweza kusikiliza hotuba ya rais ya alhamisi akiwa mbunge na sio NW Tena.Huyu mlevi aondolewe mara moja.
Waitara hafai kama ilivyo sura yakeIfike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.
Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze. Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.
Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo Kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
Ni aibu kupitiliza NW unashindwa kutamka jina la Rais wako? halafu mkiitwa dhaifu mnakasirika, hyu anatumia kilevi gani?Ifike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.
Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze. Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.
Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo Kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
mtakalia hivyo hivyo usaliti mambo yanaendaTatizo Makubaliano ya biashara ya usaliti
hivi nikuulize wewe mwenye akilai za kushikiwa kama malaya hivi mtu huwaga anabadirika kutokana na nini? mtu huyohuyo alipokuwa chadema mlimtukuza na kumpa ubunge ukonga hakuwa na kasoro? amewaona nyie ni wahuni kahama chama chenu gafla kabadirika na kuwa mlevi? acheni ujinga nyie mnaweweseka kukosa majimboIfike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.
Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze. Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.
Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo Kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
Ifike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.
Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze.
Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.
Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo Kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
🤣🤣🤣🤣Halaf mbiooo
Halafu mbioooo 🤣🤣🤣
Huyo naye labda ni kati ya wale 60% tulivyoambiwa...Ni aibu kupitiliza NW unashindwa kutamka jina la Rais wako? halafu mkiitwa dhaifu mnakasirika, hyu anatumia kilevi gani?
Dharau za mawaziri kwa wabunge zinaonekana dhahili. Mimi uwa nawapima unyenyekevu na heshima yao wanapotakiwa kujibu maswali. Sio adabu kwa aliyefundwa kujibu swali wakati bega moja limeshushwa kimadaa na kamkono kamoja kameegemezwa kwenye meza. Chunguzeni vizuri kwa mawaziri wote wanapojibu swali, kuna kadharau Fulani nakaona. Sijawai kuona Raisi yeyote anamtindo huo wa kusimama na kuhutubia jukwaani.Ifike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.
Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze.
Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.
Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo Kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
... hivi Chadema waliwezaje kuishi na mizigo kama hii? Halafu CCM wakaja kuinunua kwa gharama kubwa; ha ha ha! Siasa kweli ni vichekesho.Ifike mahali wanaoteua wateue watu makini wakulisaidia Taifa si kuteua tu almradi.
Binadamu Wana tabia zinazoonyesha kwa macho ya nyama na azifichiki. Tabia ya ulevi uliopitiliza haijifichi na mtu wa aina hii nivigumu kumpa watu awaongoze.
Alichofanya Waitara Bungeni leo chakushindwa kutaja jona la mteule wake na kuzima mic kisha kuondoka ni ishara ya wazi kwamba mzaa umezidi Bungeni.
Na uongozi wa Bunge badala ukemee mambo Kama haya wanabaki kuwanenea mabaya Mawaziri wacahapa kazi Kama Mwambe kisa tu wameamua kusimamia kile wanachoamini kitaaluma. Mhe. Rais hapa huna NW bali yupo mlevi mmoja
Kaongeee na anko wako aache uduwanzi sio kuja kumtetea hapa.Kukosea Ni kawaida. Na katika ubinadamu, pale angeendelea angechemka zaidi na pengine tusi lingekuja badala ya jina.
Sijaelewa kabisa Pia mtu mzima kama wewe unaanzisha uzi kwa makosa ya kibinadamu kabisa ambalo haliakisi utendaji Wake mana Wewe sio waziri wake. So huwezi jua na hata tufanye ungekuwa unajua hapa sio mahali pake, and so ungemwajibisha au kureport kiutaratibu. KINACHOONEKA hapa Sasa Ni chuki za kitoto na zisizo na tija kwa afya ya ubongo wa JFMembers. Pia inaonekana Wewe Ni mtu mwenye matatizo mengi ndo mana Ni rahisi kupick vitu vidogo vidogo ili kuridhisha nafsi na Self esteem yako dhaifu.
Ushauri Wangu, jaribu kujichunguza na uombe msaada. Unakoelekea unaweza hata kujiuzuru mwenyewe duniani. Na wanaokusupport angalia kama Kuna uzi waliwahi kuandika kujenga mahali walipo. Utaona Ni Wale watu wasiojenga kwao ila wanajitahidi kwa maneno kurekebisha na kupaka rangi nyumba za jirani.
May your day be fruitful.