Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,156
Ukirejea historia ya malalamiko hewa yaliyowahi kutolewa na upande wa Waislam hasa kipindi cha Mkapa na Ndalichako huwezi kudharau maoni ya mtoa hoja uliyemjibu hapo juu.Nimesoma hii comment yako nimecheka sana. Kwahiyo unataka kusema kwa kuwa Msonde alikua mkristo ndio alikua anafelisha shule za waislamu?
Duuh namashaka na uwezo wako wa kufikiri..
Acheni kuchanganya mambo ya Dini.. unajidharilisha bure na kama itakuwa ni hivyo kuondolewa kwake ili kudanganya watu katika matokeo. Ni kukuza kizazi mbumbumbu.
Pia rejea yaliyowahi kutokea chuo kikuu cha Dodoma kati ya mwaka 2012, 2013 na 2014 yanayohusiana na maswala ya dini.
Kuna vitu vinaendelea vya kipuuzi ambavyo Kama si mfuatiliaji na mdadisi wa Mambo huwezi kuvielewa ukivisikia kwa mara ya kwanza
Amini amini nakwambia uwezekano wa mchezo huo kufanyika pale NECTA ni mkubwa sana hasa Kama wanaomzunguka/mshauri Rais hawatakuwa makini sana. Kikwete alijaribu akashindwa
Swali la kujiuliza pia, Kwanini amemtoa kipindi hiki cha kuelekea kusahihisha mitihani ya watoto wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu? (Form VI?)
Pili, kwanini amemtoa kabla hata hajamuandaa anayeshika nafasi yake!?? Mbona wengine nafasi zao zimewekwa watu ila NECTA nafasi hajatangazwa leo leo!? Je, anapima upepo Kwanza? Tusubiri tuone