Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakulipa nini? Kesho utataka ateuliwe rais.Kutokana na wizi na ubadhilifu wa bandari yetu napendekeza professor Assad ateuliwe nafasi hiyo
Katiba inasema mtu yyte ambaye kashashika ofisi au kuwa CAG hataruhusiwa tena kutumikia ofisi yyte au nafasi yyte ya ummaKutokana na wizi na ubadhilifu wa bandari yetu napendekeza professor Assad ateuliwe nafasi hiyo
Katiba hairuhusu mtu yyte ambae kashakuwa mdhibiti wa hesabu za serikali hata ruhusiwa kushika nafasi yyte au ofisi yyte ya ummaMkuu CAG ni zaidi ya uyo mkurugenz wa bandari
Professor labda wamrudishe achukue nafasi ya KATIBU MKUU KIONGOZI
ALIYESHIKA ARUD LUMUMBA BADO NAFASI YAKE IPO
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Mkuu CAG is not politicsAsad anafaa sana na ni mtu jasiri.
Anafaa hata kuwa Makamu wa Rais.
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
mama Atatumia presidensho dicrii Kama Mkuu wa malaika aka Mwendazake....Katiba inasema mtu yyte ambaye kashashika ofisi au kuwa CAG hataruhusiwa tena kutumikia ofisi yyte au nafasi yyte ya umma
Katiba haikuruhusu Meko kumtumbua Assad b4 kustaafu au kifo. Assad hajastaafu.Katiba hairuhusu mtu yyte ambae kashakuwa mdhibiti wa hesabu za serikali hata ruhusiwa kushika nafasi yyte au ofisi yyte ya umma
hata Urais?Katiba hairuhusu mtu yyte ambae kashakuwa mdhibiti wa hesabu za serikali hata ruhusiwa kushika nafasi yyte au ofisi yyte ya umma
Badilisha heading inasomeka ateuliwaKutokana na wizi na ubadhilifu wa bandari yetu napendekeza professor Assad ateuliwe nafasi hiyo