Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
MkuuWhat about BW Mkapa? Inadhani yeye hastahili kuenziwa?
Wakuwaenzi wabake kuwa NYERERE na KARUME😎 wanatosha.
Hapana Tanzania Ina public holidays za kutosha, I am sure Tanzania kama Taifa halijafika mwisho Marais wengi watakuja, watafanya mambo makubwa kuwazidi nawatafariki pia , tuangalie mbele tusiangalie mihemko ya sasa, tusilibebeshe Taifa public holidays furushi wakakosa muda wa kufanya kazi.Mkuu
USA haenziwi washington tu basi
Hata huku ukiwezekana kuwaenzi wote sawa tu
SawaHapana Tanzania Ina public holidays za kutosha, am sure Tanzania kama Taifa halijafika mwisho Marais wengi watakuja, watafanya mambo makubwa kuwazidi nawatafariki pia , tuangalie mbele tusiangalie mihemko ya sasa, tusilibebeshe Taifa public holidays furushi wakakosa muda wa kufanya kazi.
NYERERE na KARUME inaeleweka hawa ni waasisi wa Taifa
🤣 Siku 1 itapunguza nini??Kwa Nyerere day na karume day imetosha sana,tukiendekeza akili za mtoa the mada tutafupisha siku za ufanyaji kazi kipuuzi.
Tutashangilia kwa shangwe kubwa. Ukisikia kufa kufaana, huu msiba umetufaa sa aTunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa.....View attachment 2526364View attachment 2526379
Others willSawa
Ila siungi mkono hoja yako
SawaOthers will
NaamTutashangilia kwa shangwe kubwa. Ukisikia kufa kufaana, huu msiba umetufaa sa a
Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa.....View attachment 2526364View attachment 2526379
Anzisheni Nchi ya Chato then tangazeniTunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa.....View attachment 2526364View attachment 2526379
Mapovu hayana nafasi 🤣Labda iwe siku ya kitaifa kwenu sukuma gang. Msidhani alikuwa na umuhimu huo.
Naunga mkono hoja. Sukuma Gang waache chokochoko zao.What about BW Mkapa? Unadhani yeye hastahili kuenziwa?
Wakuwaenzi wabaki kuwa NYERERE na KARUME[emoji41] wanatosha.
Kwani ikianzishwa nchi ya chato mtapenda??Anxisheni Nchi ya Chato then tangazeni
Tunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa.....View attachment 2526364View attachment 2526379
Ndio tutapenda si mtaungana na maharamia wenzenu wa huko RwandaKwani ikianzishwa nchi ya chato mtapenda??
Kuufanya tu mkoa mmefura kwa wivu na hasira
🤣🤣Haya basi ChoiceVariable utakuwa rais na baba wa taifa la chatoNdio tutapenda si mtaungana na maharamia wenzenu wa huko Rwanda