Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Mpaka kizazi kilichopo madarakani kwa sasa kiondoke maana wanahisi ni nuksi kwa upigajiTunapoelekea katika hio siku muhimu ya kuenzi kifo cha JPM, ni vyema huu mwaka Mh SSH akaitangaza rasmi hio siku kuwa sikukuu ya kitaifa, ili kuenzi mema na makubwa kabisa aliyo yafanya Hayati Dr Magufuli.
17 march: Magufuli Day
Kwenu wakereketwa.....View attachment 2526364View attachment 2526379