Pendekezo: Rais Samia Suluhu wachukue Maria Sarungi Tsehai, Mwele Malecela na Fatma Karume kwenye Serikali yako

Pendekezo: Rais Samia Suluhu wachukue Maria Sarungi Tsehai, Mwele Malecela na Fatma Karume kwenye Serikali yako

Watanzania ni watu wa hovyo sana yani mtu kupiga kelele mtandaoni tayari ashafaa kuteuliwa. Wewe unamshauri mama asiwakubali watu wa vetting ila unataka akuamini wewe unknown kutoka mitandaoni.
Upumbavu tu.
 
Mh Rais najua unapitapita kwenye mitandao, najua viongozi wengi unaochagua unaletewa majina baada ya kufanya vetting lakin mwisho wa siku wewe ndio unafanya final selection

Sasa Mh Rais Samia kuna Hawa watu Mwele Malecela, Maria Sarungi na Fatuma karume walishitupwa nje ya system na utawala wa Mwendazake hayati Magufuli

Maria Anaishi uamishoni kama sikosei baada ya kukosoa utawala wa Mwendakazi

Fatuma katupwa Zanzibar kukanyaga dar ilikuwa mbinde kwenye utawala wa awamu ya 5

Mwele Malecela huyu aliogopa kuja Tz baada ya kutimuliwa NMRI



Mh Samia jua kuwa system inayokuletea viongozi kamwe hatakuletea watu makini kama hawa na wengi

Sio kwamba nawapigia debe ila historia yao ndio inanituma nikupe ili pendekezo


KWA KUANZA MCHAGUA MARIA SARUNGI TSEHAI KUCHUA NAFSI YA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU

View attachment 1744342

View attachment 1744343

View attachment 1744344
St.u...pid thread...umeniharibia siku yangu kabisa leo...pyuuuuu
 
Watanzania ni watu wa hovyo sana yani mtu kupiga kelele mtandaoni tayari ashafaa kuteuliwa. Wewe unamshauri mama asiwakubali watu wa vetting ila unataka akuamini wewe unknown kutoka mitandaoni.
Upumbavu tu.
Hao ndio wajuaji wa mitandaoni mkuu,

Wanataka kifanyike kile wanachokisema bila kupungua hata chembe,
 
Mkuu na sie tunataka kuwatumikia Watanzania kwenye nafasi za juu.Hao wazazi wao walishatumbua maisha.Siku nyingine uache huo upumbavu.
 
Bado hamtaki kukosolewa lengo hapo ni nini kuwanyamazisha?
 
Mh Rais najua unapitapita kwenye mitandao, najua viongozi wengi unaochagua unaletewa majina baada ya kufanya vetting lakin mwisho wa siku wewe ndio unafanya final selection

Sasa Mh Rais Samia kuna Hawa watu Mwele Malecela, Maria Sarungi na Fatuma karume walishitupwa nje ya system na utawala wa Mwendazake hayati Magufuli

Maria Anaishi uamishoni kama sikosei baada ya kukosoa utawala wa Mwendakazi

Fatuma katupwa Zanzibar kukanyaga dar ilikuwa mbinde kwenye utawala wa awamu ya 5

Mwele Malecela huyu aliogopa kuja Tz baada ya kutimuliwa NMRI



Mh Samia jua kuwa system inayokuletea viongozi kamwe hatakuletea watu makini kama hawa na wengi

Sio kwamba nawapigia debe ila historia yao ndio inanituma nikupe ili pendekezo


KWA KUANZA MCHAGUA MARIA SARUNGI TSEHAI KUCHUA NAFSI YA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU

View attachment 1744342

View attachment 1744343

View attachment 1744344

Mimi nafahamu kuwa Rais Samia anawafahamu wote hao tena kwa karibu sana; mwezi wa Ramadhani huwa anawaalika kufuturu nao!! Tena huyo Maria Sarungi anamfahamu uwezo wake kwani walifanya kazi pamoja kwenye bunge la katiba.
 
Mh Rais najua unapitapita kwenye mitandao, najua viongozi wengi unaochagua unaletewa majina baada ya kufanya vetting lakin mwisho wa siku wewe ndio unafanya final selection

Sasa Mh Rais Samia kuna Hawa watu Mwele Malecela, Maria Sarungi na Fatuma karume walishitupwa nje ya system na utawala wa Mwendazake hayati Magufuli

Maria Anaishi uamishoni kama sikosei baada ya kukosoa utawala wa Mwendakazi

Fatuma katupwa Zanzibar kukanyaga dar ilikuwa mbinde kwenye utawala wa awamu ya 5

Mwele Malecela huyu aliogopa kuja Tz baada ya kutimuliwa NMRI



Mh Samia jua kuwa system inayokuletea viongozi kamwe hatakuletea watu makini kama hawa na wengi

Sio kwamba nawapigia debe ila historia yao ndio inanituma nikupe ili pendekezo


KWA KUANZA MCHAGUA MARIA SARUNGI TSEHAI KUCHUA NAFSI YA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU

View attachment 1744342

View attachment 1744343

View attachment 1744344
Kwani wao wana akili kuzidi watanzania wengine?
Mnawaombea kazi wapeni hata kwenye vyama vyenu au majumbani kwenu.

Tanzania ina watu milioni 60 na wenye akili ni wengi kuliko hao
 
Nashauri waachwe waendelee na Haraka tu hao ni Jicho la tatu kwa Serikali
 
Maria lipia tangazo lako.kwanza tuna mashaka na u raia wako
 
Aka mashangazi wa taifa kama wanavoitwa na jamii ya Twitter
 
Muacheni Raisi Amiri Jeshi Mkuu afanye kazi, hawa mawakala wa kigogo, ukimuacha Dr, hakutakuwa na siri serikalini.
Mwele aendelee tu huko na maisha.

Hawa wabakie Twita Republic waendeleze harakati zao.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Tuache ujuha, kuwa activist au whistle blower hakumfanyi mtu kuwa good executive. Kifupi wale ni takataka kabisa ukimtoa Mwele
 
Mh Rais najua unapitapita kwenye mitandao, najua viongozi wengi unaochagua unaletewa majina baada ya kufanya vetting lakin mwisho wa siku wewe ndio unafanya final selection

Sasa Mh Rais Samia kuna Hawa watu Mwele Malecela, Maria Sarungi na Fatuma karume walishitupwa nje ya system na utawala wa Mwendazake hayati Magufuli

Maria Anaishi uamishoni kama sikosei baada ya kukosoa utawala wa Mwendakazi

Fatuma katupwa Zanzibar kukanyaga dar ilikuwa mbinde kwenye utawala wa awamu ya 5

Mwele Malecela huyu aliogopa kuja Tz baada ya kutimuliwa NMRI



Mh Samia jua kuwa system inayokuletea viongozi kamwe hatakuletea watu makini kama hawa na wengi

Sio kwamba nawapigia debe ila historia yao ndio inanituma nikupe ili pendekezo


KWA KUANZA MCHAGUA MARIA SARUNGI TSEHAI KUCHUA NAFSI YA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU

View attachment 1744342

View attachment 1744343

View attachment 1744344
Umewasahau - Tundu Lissu, Mwamakula, Shekh Ponda na NiweMugizi na wenyewe awachague.
 
Back
Top Bottom