KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Jambo lisilowezekana na halitowezekana milele.
Watu wako huru kutoa siri za watu,kuvuruga michongo na kukosoa serikali kwa uhuru kisa wako jf kwa anonymous identity.
Hivi unafikiri siku watu wakajulikana kwamba fulani ndo huyu.
Nadhani huo ndio utakuwa mwisho wao.
Acha tuendelee kutojuana hivi hivi kwa usalama.
Watu wako huru kutoa siri za watu,kuvuruga michongo na kukosoa serikali kwa uhuru kisa wako jf kwa anonymous identity.
Hivi unafikiri siku watu wakajulikana kwamba fulani ndo huyu.
Nadhani huo ndio utakuwa mwisho wao.
Acha tuendelee kutojuana hivi hivi kwa usalama.