Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
- Thread starter
- #41
Duh!Wewe naona mtoto wa juzi bado unanuka maziwa
Haya
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Wewe naona mtoto wa juzi bado unanuka maziwa
Kabisa MkuuKuwe na wazo linalojenga hoja kama vile spots day au charity au family day au thinkers na kadhalika.
Inawezekana
HahahahMimi nitakuja kutoka huku Nanjilinji
Hapana Mkuu ni kwa wema tuUmetumwa wewe.!!!!!!
[emoji23][emoji23]Kipekee kabisa kutoka katika sakafu ya moyo wangu, nakiri ningezichapa kavukavu na ndugu yangu Lucas mwashambwa
Watu ambao hawatokuwa na tatizo na yeyote ni raraa reree na Extrovert Hawa nadhani hata ukiwapiga kibao watakwambia enenda na amani ya Bwana mpendwa!
Eeeh Ndio Mkuu, hata kuzichapa ruhusa kama kuna member aliwahi kukuletea ujingaKuzichapa ??
Nchi yetu sasahiv ya amani, hamnaga zile tenaJambo lisilowezekana na halitowezekana milele.
Watu wako huru kutoa siri za watu,kuvuruga michongo na kukosoa serikali kwa uhuru kisa wako jf kwa anonymous identity.
Hivi unafikiri siku watu wakajulikana kwamba fulani ndo huyu.
Nadhani huo ndio utakuwa mwisho wao.
Acha tuendelee kutojuana hivi hivi kwa usalama.
[emoji23][emoji23]Amiiiina kubwaa
Uwepo wako ni muhimu piaMuweke na pombe ili mkilewa mtambuane vizuri.Kutaniko jema.
Yani ugongwe mkono kweli siku hiyo, kila mtu ajitoe kama vile hana cha kupotezaNaomba hy siku tuiite Boxing Day ili tuzichape weeeeeeee Kila mmoja na adui wake
Halafu anaonekana hana kazi ya kufanya 😂Wewe naona mtoto wa juzi bado unanuka maziwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo haliwez kutokea why?
Kuna mapimbi humu wamejipa Sifa zisizo zao[emoji1], kuna mapimbi humu tutategemea wafike eneo la tukio wakiwa na escort ya European cars, new brands cc3000+, matokeo yake unamuona member kashushwa na daladala la nauli mia7 tena kapata siti ya kugombania.
Kuna wale wenzetu jinsia ya kike hawa wanajiona warembo wa JF kumbe kwa ground ni huruma tu kwakweli hawaendani na ID zao, hawana mvuto wala sifa mnazowajaza humu,
Kiufupi suala la kuoanana na wanaJF ni gumu sana, haswa unapofikilia kuonana na yule member aliyekutishia kukufunga sentro, wakati huo ni wewe ndie unastahili kumuonea huruma na kumlisha, bila kutusahau sisi tunaowatukana mabosi zetu humu alafu tuje tuonane live? Hapana bana tuendelee hivi hivi fake Id za vificho humu[emoji3].
Lazima watu wakimbiane . Kuna waliojinasibu kama wadada kumbe ni mabibi! kuna waliojinasibu kuwa ni matajiri kumbe ni makapuku wa kutupwa! na mbaya zaidi kuna waiojinasibu kama mabinti warembo kumbe ni LGBT / mabwabwa, nk, nk.Tutakimbiana siku hiyo
Ahsante sana mkuu, nikiwa mmoja kati ya members wa GT lazima nihudhurie
Huyo Mwashambwa inaonesha ana bifu na wengi[emoji23]
Naona atachangiwa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kuna watu wanajifanya mameneja humu, siku hiyo watapoteana😃
Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi