Amiiiina kubwaaKipekee kabisa kutoka katika sakafu ya moyo wangu, nakiri ningezichapa kavukavu na ndugu yangu Lucas mwashambwa
Watu ambao hawatokuwa na tatizo na yeyote ni raraa reree na Extrovert Hawa nadhani hata ukiwapiga kubao watakwambia enenda na amani ya Bwana mpendwa!
Watanzania watetemeka😀😀Mambo yatakuwa hivi, "wee ndio Lucas mwashambwa sio?" Ngumi zinaanza.
Aisee!Jamaa huwa anaanza miuongo yake kama anatuhutubia kwenye mkutano wa tawi la CCM Nzovwe.Watanzania watetemeka😀😀
Itakuwaje sasa?Kwa baadhi ya hizi mental cases[emoji15][emoji15]
Ngoja tuoneJF ina watu laki 6 na point.
Tuseme 10% tu wakubaliane na pendekezo lako. Maana yake ni watu 60,000+.
Utawaweka wapi hao watu?
Nendeni uwanja wa Mkapa. Utawatosha
Imepita, vp kila mtu aingie na ndinga yake au?Sawa
[emoji23][emoji23][emoji23]Sipati picha ya lucas mwanshambwa na maghayo
Huyo Mwashambwa inaonesha ana bifu na wengi[emoji23]Mambo yatakuwa hivi, "wee ndio Lucas mwashambwa sio?" Ngumi zinaanza.
[emoji23][emoji23]Impossible! Unataka wengine waondoke na ngeu au wakiwa wamebebwa na defender ya police? Usichukulie poa maoni unayoyatoa ukiwa umejificha! Wengine wanaumia kiasi cha kutaka kukula kichwa! Kuna uadui wa kikabila, kidini, kisiasa! Hivi vitu havijawahi kumuacha mtu salama ukiingia kwenye anga zake!
Ndo siku hiyo itabidi umchane live liveLeejay49 [emoji7]
Naamini safari hii itakuwa unyama zaidiIshakiwaga hivi kwa JF Dar Wing na Arusha Wing but nadhani kuna jambo halikuwa sawa mambo ika sizi!!!
Na wewe tungependa uwepoAll the Best mtakaokutana
Usernames ndo muhimu ili kufikia lengo,mkutane ila msiambiane username zenu za huku