Pendekezo: Tanzania tuwe na ufalme, tuteue ukoo mmoja!

Pendekezo: Tanzania tuwe na ufalme, tuteue ukoo mmoja!

Mao Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2018
Posts
210
Reaction score
231
Za pilika !

Nimekuwa nikifuatilia michakato ya Uchaguzi ya vyama vingi toka 1995. Mimi ni mdau wa "utulivu" yaani tuwe na jamii tulivu. Kwanini naongelea UTULIVU? . Utulivu ndo hasa kitu pekee halisi kinachoweza kuwepo katika kundi la binadamu wanao kaa/Ishi pamoja.

Kiasili hakuna usawa wa haki Kati ya binadamu au mtu na mtu. Utaona mwingine mwembamba, mwingine mnene, mwingine mwana ume, mwingine mwanamke. Mwingine mfupi, mwingine mrefu, mwingine mweupe, mwingine mweusi, mwingine Tajiri mwingine masikini, mwingine mtoto mwingine mkubwa etc.

Hivo basi migongano lazima uwepo. Sasa basi ili tusiuane, ili tusiharibiane Mali zetu, ili tuendelee kuijenga kwa maana ya anaelima shambani alimebila hofu, anaeuza bia auze masaa 24, anae sali aendelee kusali kanisani kwake au msikitini au porini bila hofu tunahitaji utulivu. Utulivu unaeleweka kuliko Amani na haki. Amani/ haki kiasili havipo. Tusivitafute, tunapoteza muda. Ila utlivu upo na inawezekana.

Maoni yangu. Tubadili katiba, tutafute ukoo mmoja tuufanye wa kifalme. Hapa tunaweza kujadili terms. Tuupe kanuni za maisha.

Halafu tuunde taasi imara Sana. Mfano, tuwe na Mkuu wa majeshi asie julikana isipokuwa wasaidizi wake tu. Tuwe na Majaji Wakuu ambao hakuna wa kuwatoa kwenye viti vyao na wasistaafu. Tuwe na taasi za sekta muhimu za uzalishaji ambazo zitakuwa na Uhuru mpana.

Muhimu Sasa tuwe na sheria kali Sana. Ukiiba Hukumu ya kifo, ukitapanya Mali ya umma/kampuni kifo.

Hii familia ya kifalme itakuwa Kiongozi Mkuu wa Nchi lakn haitakuwa na Mamlaka za uteuzi.

Tusiwe na uchaguzi wa Kitaifa, Ila tuwe na chaguzi ndogo ndogo. Mfano kila Kijiji kitoe mpiga kura mmoja na apige kura ya wazi kwa matakwa ya wanakijiji walio wengi.

Part 1. Nitakuja na Part2. Karibuni kwa mawazo.
 
Mkuu ukweli ni kuwa tumeshaamini kuwa JPM akishinda Tanzania imeshinda
Hebu tulia endelea na kazi Tanzania imeshashinda
Wakati wa siasa umeisha sasa ni wakati wa kazi mwanzo mwisho
Tukawajibike ndugu zangu tuache siasa
 
Za pilika !

Nimekuwa nikifuatilia michakato ya Uchaguzi ya vyama vingi toka 1995. Mimi ni mdau wa "utulivu" yaani tuwe na jamii tulivu. Kwanini naongelea UTULIVU? . Utulivu ndo hasa kitu pekee halisi kinachoweza kuwepo katika kundi la binadamu wanao kaa/Ishi pamoja.

Kiasili hakuna usawa wa haki Kati ya binadamu au mtu na mtu. Utaona mwingine mwembamba, mwingine mnene, mwingine mwana ume, mwingine mwanamke. Mwingine mfupi, mwingine mrefu, mwingine mweupe, mwingine mweusi, mwingine Tajiri mwingine masikini, mwingine mtoto mwingine mkubwa etc.

Hivo basi migongano lazima uwepo. Sasa basi ili tusiuane, ili tusiharibiane Mali zetu, ili tuendelee kuijenga kwa maana ya anaelima shambani alimebila hofu, anaeuza bia auze masaa 24, anae sali aendelee kusali kanisani kwake au msikitini au porini bila hofu tunahitaji utulivu. Utulivu unaeleweka kuliko Amani na haki. Amani/ haki kiasili havipo. Tusivitafute, tunapoteza muda. Ila utlivu upo na inawezekana.

Maoni yangu. Tubadili katiba, tutafute ukoo mmoja tuufanye wa kifalme. Hapa tunaweza kujadili terms. Tuupe kanuni za maisha.

Halafu tuunde taasi imara Sana. Mfano, tuwe na Mkuu wa majeshi asie julikana isipokuwa wasaidizi wake tu. Tuwe na Majaji Wakuu ambao hakuna wa kuwatoa kwenye viti vyao na wasistaafu. Tuwe na taasi za sekta muhimu za uzalishaji ambazo zitakuwa na Uhuru mpana.

Muhimu Sasa tuwe na sheria kali Sana. Ukiiba Hukumu ya kifo, ukitapanya Mali ya umma/kampuni kifo.

Hii familia ya kifalme itakuwa Kiongozi Mkuu wa Nchi lakn haitakuwa na Mamlaka za uteuzi.

Tusiwe na uchaguzi wa Kitaifa, Ila tuwe na chaguzi ndogo ndogo. Mfano kila Kijiji kitoe mpiga kura mmoja na apige kura ya wazi kwa matakwa ya wanakijiji walio wengi.

Part 1. Nitakuja na Part2. Karibuni kwa mawazo.
Tafsiri ya ufalme sio kwamba ukoo mmoja ndo unatawala,bali ufalme ni uongozi usio wa kidemokrasia kwa maana watu wachache tu ndio huamua nani awe raisi na nani asiwe baada ya vikao nyeti kupita.

Ila sasa shida inakuja kuwa hawa wafalme hupandikiza watu wao kwenye kamati ya vikao hivyo kwa hiyo watu wa kamati ngumu kuchagua mtu wa koo nyingine.

Ukirejea historia ya kiislamu utaona kuwa baada ya mtume muhammad kufa basi walitawala watu ambao kiujamaa wako mbalimbali tofauti na zama hizi.
 
Za pilika !

Nimekuwa nikifuatilia michakato ya Uchaguzi ya vyama vingi toka 1995. Mimi ni mdau wa "utulivu" yaani tuwe na jamii tulivu. Kwanini naongelea UTULIVU? . Utulivu ndo hasa kitu pekee halisi kinachoweza kuwepo katika kundi la binadamu wanao kaa/Ishi pamoja.

Kiasili hakuna usawa wa haki Kati ya binadamu au mtu na mtu. Utaona mwingine mwembamba, mwingine mnene, mwingine mwana ume, mwingine mwanamke. Mwingine mfupi, mwingine mrefu, mwingine mweupe, mwingine mweusi, mwingine Tajiri mwingine masikini, mwingine mtoto mwingine mkubwa etc.

Hivo basi migongano lazima uwepo. Sasa basi ili tusiuane, ili tusiharibiane Mali zetu, ili tuendelee kuijenga kwa maana ya anaelima shambani alimebila hofu, anaeuza bia auze masaa 24, anae sali aendelee kusali kanisani kwake au msikitini au porini bila hofu tunahitaji utulivu. Utulivu unaeleweka kuliko Amani na haki. Amani/ haki kiasili havipo. Tusivitafute, tunapoteza muda. Ila utlivu upo na inawezekana.

Maoni yangu. Tubadili katiba, tutafute ukoo mmoja tuufanye wa kifalme. Hapa tunaweza kujadili terms. Tuupe kanuni za maisha.

Halafu tuunde taasi imara Sana. Mfano, tuwe na Mkuu wa majeshi asie julikana isipokuwa wasaidizi wake tu. Tuwe na Majaji Wakuu ambao hakuna wa kuwatoa kwenye viti vyao na wasistaafu. Tuwe na taasi za sekta muhimu za uzalishaji ambazo zitakuwa na Uhuru mpana.

Muhimu Sasa tuwe na sheria kali Sana. Ukiiba Hukumu ya kifo, ukitapanya Mali ya umma/kampuni kifo.

Hii familia ya kifalme itakuwa Kiongozi Mkuu wa Nchi lakn haitakuwa na Mamlaka za uteuzi.

Tusiwe na uchaguzi wa Kitaifa, Ila tuwe na chaguzi ndogo ndogo. Mfano kila Kijiji kitoe mpiga kura mmoja na apige kura ya wazi kwa matakwa ya wanakijiji walio wengi.

Part 1. Nitakuja na Part2. Karibuni kwa mawazo.
Niko tayari kuwa Mfalme
 
Hivo basi migongano lazima uwepo. Sasa basi ili tusiuane, ili tusiharibiane Mali zetu
Lawama zote apewe jiwe. Na bado ngoja tuliamshe kesho. Watakufa wengi. Kisa jiwe ameiba kura na hamtaki kumwambia ukweli.
 
Kama upinzani wenyewe ni huu wa maandazi ni bora tuwe na utawala mmoja wa kifalme.
 
Lawama zote apewe jiwe. Na bado ngoja tuliamshe kesho. Watakufa wengi. Kisa jiwe ameiba kura na hamtaki kumwambia ukweli.

Tuachane na kulaumu mtu mmoja mmoja. Kama Watz wote au wengi wasingetaka yafanyike yaliyofanyika yasingefanyika. Kwani uliemtaja ndo alisimamia vituo vyote 80,000 Nchi nzima?
 
Tuachane na kulaumu mtu mmoja mmoja. Kama Watz wote au wengi wasingetaka yafanyike yaliyofanyika yasingefanyika. Kwani uliemtaja ndo alisimamia vituo vyote 80,000 Nchi nzima?
Top layer ya juu kabisa aliyoiteua yeye ndiyo imetelemsha amri na hofu mpk kwa waliosimamia. Kwahiyo jiwe hakwepi lawama hii.
 
Back
Top Bottom