PENDEKEZO: Tozo ya Kubadilisha pesa za Kigeni!

PENDEKEZO: Tozo ya Kubadilisha pesa za Kigeni!

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.

NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.
NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport
South Africa wanafanya hii kitu kitambo. Hongera
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.
NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport
Nani kakutuma na amekulipa ngapi??
 
Wazo kwa ujumla ni zuri, litasaidia kuongeza mapato.
Angalizo tu ni kwamba kiwango kisiwe kikubwa mpaka kikachangia kuua biashara ya ubadilishaji wa fedha za kigeni, na watu wakaanza kutafuta mbinu mbadala za ukwepaji.
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.
NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport

. Mnawatoza wananchi huku mnashindwa kudhibiti gharama za Maisha na mfumuko wa Bei ? Anayeumia ni mwananchi. Pesa ikishakatwa Kodi haitakiwi kutozwa Tena. Huwezi kutoza tozo kwenye pesa ambayo imeshakatwa Kodi.

Halafu muache tabia ya kuwakamua wananchi na matozo, halafu sifa mnampa mama yenu kana kwamba ni pesa za mfukoni mwenu
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.
NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport
Pesa inatafutwa mpaka uvunguni....
 
Royal tour Tanzania ina washindani wake, je mpo tayari kwenda kinyume na azma ya kuvutia watalii wengi zaidi ?
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.
NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport

Na wale wanaoingia bungeni watoe japo laki moja kila mwezir iwe Tozo ya kusaidia nchi
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.

NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport

Watu wataanza kubadilidha pesa mtaani. Serikali itakosa fedha za kigeni.

Serikali ijikite kwanza kuwa na uwazi, uwajibikaji na kubana matumizi na pesa za umma.

Wapunguze V8, misafara mirefu, kama Rais kusindikizwa na utotoro wa viongozi akienda mkoa na kurudi, wapunguzr vyeo Wakurugenzi kibao na wakuu wa mikoa, vikao, safari zisizo na msingi nk.
 
Zipo njia nyingi sana za kuongwza pesa kwa serikali kama:-

Kuhimiza Watanzania wengi wawe na passport na wafanye iwe rahisi kwao kusafiri nje ya nchi kufanya biashara na kazi.

Kupata passport haitakiwi utoe sababu yoyote iwe haki ya kimsingi.

Wapunguze ukiritimba, longolongo kupata export licenses. Watu wakitaka kuuza mazao yao, madini, samaki, maua, bidhaa zozote iwe rahisi.

Kutumia njia za ubunifu kuongeza watalii nchini. Kufanya process yote iwe rahisi kwa watalii kama kupata visa, usafiri, hotel, ndege, customer service nk.

Muhimu kuongeza vyanzo vya mapato kwa serikali kuliko kuwakamua watu wale wsle.

Watu milioni mbili tatu wakichukua passport, mapato makubwa kwa serikali.

Export licenses na biashara zao za kuuza nje zitaleta mapato zaidi kwa serikali.

Kwanini tusiwe na soko la kimataifa la mtandaoni kama Alibaba ambapo wakulima, wafanyabiashara wa Tanzania watauza bidhaa zao kwa yoyote,popote duniani kwa bei za ushindani.

Hapo serikali inaweza kuwa mtu wa kati kuhakikisha viwango na hakuna utapeli.
 
Kwa hiyo wale makuli wanaobeba mizigo ya wazungu mlima kilimanjaro sio wanyonge
 
Back
Top Bottom