PENDEKEZO: Tozo ya Kubadilisha pesa za Kigeni!

PENDEKEZO: Tozo ya Kubadilisha pesa za Kigeni!

Lazima serikali izibe mianya ya uvujaji wa mapato ya ndani. Taarifa ya cag 2020 inaeleza kwamba maafisa uhamiaji uwanja wa kia walihack system na kufuta data za viza za wageni na wakalamba karibu billion 4. Sasa watu kama hawa bado kesi inasusua sua unatafutwa ushahidi kweli.
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.

NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport
We bichwa .hiyo si ndo double taxation tuliyokataa. Pesa yangu nikishaiweka mfukoni maana yake nimeshalipia kodi wakati naivuna. Serikali ijielekeze kufanya research kwa watu wanaozalisha .unapozalisha na kupata faida lazima tax man awe benet hizi pesa za rahsi rahsi tushakataa
 
Ama kweli nchi imetushinda. Huu uviziaji wa mtu mwenye pesa yake halali ni kuua uchumi serikali ijielekeze ku promote production na kutoza kodi si kuvizie kila unaehisi kuwa si mnyonge hapo ni kutafuta taifa zima lijae wanyonge ndo tuelewane
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.

NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport
Kwani mtu akibadilisha pesa kodi haikatwi?
 
Serikali ipunguze utitiri wa kodi mbalimbali,tozo na ushuru kwenye sehemu za uzalishaji na huduma zinazotozwa na TRA, Zimamoto,Afya, Polisi, OSHA NSSF,WCF, Mazingira, Utalii, Malazi, Mifugo, Elimu, madini,etc Ziunganishwe au ziondolewe kabisa au ziwe ndogo ili ku stimulate uchumi kwenye sekta zote. Blue Print iliyobuniwa miakaa kadhaa na serikali bado haijasaidia sana. Kisha serikali igeukie kwenye matumizi ya serikali safari za nje, misafara,vikao nk kifupi Bunge limekwishaishauri serikali kuhusu mkakati wa kupunguza matumizi lakini inaonekana ushauri kupuuzwa.
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza huduma za Jamii nchini.

NB: Maduka/Benki zihakikishe hakuna transaction bila National ID/Passport
Ianzishwe tozo ya kusafiri kwa chombo cha moto ambapo abiria atachangia asilimia kiasi kwenye nauli atozwayo.
 
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni
Siyo kila anayepata foreign currency ni tajiri. Kuna vijana wamejiajiri mitandaoni wanapata fedha za kigeni kiasi na mambo yanaenda. Kuna wafanyakazi kwenye sekta ya utalii wanapata some tips kwa forex.

Mkiweka TOZO ya hivyo kwa kufikiri kuwa kila aliye na forex ni tajiri mtakuwa mnakuza tu black market.
 
Back
Top Bottom