Pendekezo: Tuombe Nchi ya Marekani Ituletee Watu 100 kuja kuongoza Nchi yetu

Pendekezo: Tuombe Nchi ya Marekani Ituletee Watu 100 kuja kuongoza Nchi yetu

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Maendeleo hayana ubaguzi, kwakuwa ndani ya miaka zaidi ya 60 tumeshindwa kufanya mapinduzi kwenye sekta hata 1 niombe kwa heshima na taadhima tuiombe nchi ya Marekani itupatie vichwa 100 vitusaidie kutengeneza mfumo utakaoleta matokeo haraka na kutengeneza katiba mpya yenye tija.

Kwanza hao watu waje wazunguke nchi nzima waone rasilimali zilizopo kisha wakae chini waseme tukiwapa hii nchi kwa miaka 10 watatufikisha wapi, baada ya kutwambia tuwaruhusu waanze kazi.

Kwenye hivyo vichwa apatikane rais 1, waziri mkuu 1, speaker 1, mawaziri wa wizara zote, makatibu wakuu halafu sisi tujifunze toka kwao. Tuwape miaka 10 tu mtanishukuru.

In addition kipindi cha hiyo miaka 10 marekani na Tanzania tuingie makubaliano kuwa kwenda marekani itakuwa ni kama kwenda Zanzibar yaani ukiwa na kitambulisho cha NIDA tu unaenda na unaweza kufanya kazi, kusoma au kufanya biashara.

Naamini jambo hili litakuwa na tija sana na ndani ya miaka 10 kila Muafrika atatamani kuzamia Tanzania kutafuta maisha.
 
Maendeleo hayana ubaguzi, kwakuwa ndani ya miaka zaidi ya 60 tumeshindwa kufanya mapinduzi kwenye sekta hata 1 niombe kwa heshima na taadhima tuiombe nchi ya Marekani...
Unaonaje ukamtoa na mkeo kwa hao wamarekani wakamnyandua maana ww ni dhaifu kama nchi yako tu. Au na ww ujitoe kwa wamarekani mkeo tubaki nae
 
Watu kama Trump na Biden? Wao wenyewe hawana watu😃😃 taasisi imara zimewabeba hebu imagine Biden awe Rais wa tz! Anakutana na washauri ndo kina Babu tale ataishia kujiua
 
Hakuna haja, ni suala la tume ya uchaguzi kuwa huru, tunaitoa ccm, sio lazima Cdm nina uhakika vyama pinzani vitaimarika sana. sasa hivi vichwa vinaona hata wakijiunga UDP kukamata nchi kwa ccm hii na tume yake ni vigumu. Mchawi wetu ccm
 
Ukiwa mwana filosofia utaweza kuongoza nchi vizuri sana, je wajua mwaka 1-1800 kulikuwa na watu kama sisi wote hawapo tena walichochuma kipo wapi?

Hakipo tena, dunia inakwenda mbele, sasa kipi bora? Ni vyema kuwa na mali fulani za kukusaidia kwa vizazi fulani hasa wajukuu zako, lakini eventually hakuna kitasalia, unless labda umebahatika kutengeneza mfumo wa kikampuni, with special goal, sasa kwanini wazungu wanaweza, mentality yao ya kuona we are a passive creature, tunachohitaji zaidi ni mambo tu ya msingi kwa maisha bora, good house, a car, medical issue, guaranteed income and so,

Kitu ambacho sisi waafrika hatuko hivyo?, sisi tuna hulka ya uchoyo na kujilimbikizia mali as if tutakufa nazo, which is useless, the passive wealth, leo hii mtu akibahatisha ajira plan ya kwanza ni kuiba awezavyo kibaya mentality hii imekuwa kama ugonjwa pengine baba anaweza kuwa tajiri kabisa wa kutupa, bado mtoto atakuwa na speed kubwa zaidi ya uizi,ubinafsi na uchu wa Mali ndicho kikwazo kikubwa kweli kwa mataifa ya Africa.
 
Watanzania wenye akili na uwezo wamejitenga na siasa, matokeo yake ndiyo haya. CCM chama dola kimeshafikia mwisho wa kufikiria, wanafanya kazi kwa mazoea.

Cha kushukuru wananchi wengi wameshaliona hilo, ni kweli tuna matatizo makubwa ya kiuongozi, inakatisha tamaa hasa ukiangalia watoto wa kitanzania wanaozaliwa leo kama wana future kwenye taifa lao.
 
Wala hata hatujihitaji hao wazungu waje kwetu ni kuamua tu taasisi nyeti kama Jeshi na nyinginezo, vunja Bunge, unda bunge la wasomi akisifia tu anyongwe, Tanga sheria Kali kiongozi yeyote akiwepo madarakani akivunja kanuni ale mvua ya miaka 10 na kuendelea kulingana na kosa unda mahakama yenye majaji walioenda shule na kazi hizo waziombe na kufanya mitihani futa cheo cha mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa hapo miaka Sita tu Merakani itasubiri
 
Hakuna haja, ni suala la tume ya uchaguzi kuwa huru, tunaitoa ccm, sio lazima Cdm nina uhakika vyama pinzani vitaimarika sana. sasa hivi vichwa vinaona hata wakijiunga UDP kukamata nchi kwa ccm hii na tume yake ni vigumu. Mchawi wetu ccm
Hata CCM ikitoka madarakani we still have a long way to go. Vyama vya upinzani navyo havina watu competent pia kumbuka muafrika akionjeshwa madaraka anabadilika.

Mtoa mada ana wazo zuri, ukiangalia mfumo wa uongozi, imani, malezi katika miaka ya karibuni, elimu n.k tunawaangalia wazungu kama kioo au muongozo sasa kuliko kumuweka madarakani muafrika ili amgeze mzungu kwanini tusimuwekee madarakani mzungu mwenyewe tu.
 
Watanzania wenye akili na uwezo wamejitenga na siasa, matokeo yake ndiyo haya. CCM chama dola kimeshafikia mwisho wa kufikiria, wanafanya kazi kwa mazoea. Cha kushukuru wananchi wengi wameshaliona hilo, ni kweli tuna matatizo makubwa ya kiuongozi, inakatisha tamaa hasa ukiangalia watoto wa kitanzania wanaozaliwa leo kama wana future kwenye taifa lao.
Kabisa mkuu
 
Maendeleo hayana ubaguzi, kwakuwa ndani ya miaka zaidi ya 60 tumeshindwa kufanya mapinduzi kwenye sekta hata 1 niombe kwa heshima na taadhima tuiombe nchi ya Marekani itupatie vichwa 100 vitusaidie kutengeneza mfumo utakaoleta matokeo haraka na kutengeneza katiba mpya yenye tija.

Kwanza hao watu waje wazunguke nchi nzima waone rasilimali zilizopo kisha wakae chini waseme tukiwapa hii nchi kwa miaka 10 watatufikisha wapi, baada ya kutwambia tuwaruhusu waanze kazi.

Kwenye hivyo vichwa apatikane rais 1, waziri mkuu 1, speaker 1, mawaziri wa wizara zote, makatibu wakuu halafu sisi tujifunze toka kwao. Tuwape miaka 10 tu mtanishukuru.

In addition kipindi cha hiyo miaka 10 marekani na Tanzania tuingie makubaliano kuwa kwenda marekani itakuwa ni kama kwenda Zanzibar yaani ukiwa na kitambulisho cha NIDA tu unaenda na unaweza kufanya kazi, kusoma au kufanya biashara.

Naamini jambo hili litakuwa na tija sana na ndani ya miaka 10 kila Muafrika atatamani kuzamia Tanzania kutafuta maisha.
Naunga mkono hoja ✔️ but kiwekwe kipengele tu cha kutosambaza mambo za upinde 🌈❌ but kimikataba ya kuendeleza Nchi wapo good!!! Watakuja hapa wanafiki... Utasikia akili za mtu mweusi mara mentality za kikoloni 🤣🤣🤣
 
Naunga mkono hoja ✔️ but kiwekwe kipengele tu cha kutosambaza mambo za upinde 🌈❌ but kimikataba ya kuendeleza Nchi wapo good!!! Watakuja hapa wanafiki... Utasikia akili za mtu mweusi mara mentality za kikoloni 🤣🤣🤣
Uko sahihi sana mkuu
 
Hata CCM ikitoka madarakani we still have a long way to go. Vyama vya upinzani navyo havina watu competent pia kumbuka muafrika akionjeshwa madaraka anabadilika.

Mtoa mada ana wazo zuri, ukiangalia mfumo wa uongozi, imani, malezi katika miaka ya karibuni, elimu n.k tunawaangalia wazungu kama kioo au muongozo sasa kuliko kumuweka madarakani muafrika ili amgeze mzungu kwanini tusimuwekee madarakani mzungu mwenyewe tu.
Naam, ahsante kwa ufafanuzi mzuri.
 
Back
Top Bottom