Pendekezo: Tuombe Nchi ya Marekani Ituletee Watu 100 kuja kuongoza Nchi yetu

Pendekezo: Tuombe Nchi ya Marekani Ituletee Watu 100 kuja kuongoza Nchi yetu

Wala hata hatujihitaji hao wazungu waje kwetu ni kuamua tu taasisi nyeti kama Jeshi na nyinginezo, vunja Bunge, unda bunge la wasomi akisifia tu anyongwe, Tanga sheria Kali kiongozi yeyote akiwepo madarakani akivunja kanuni ale mvua ya miaka 10 na kuendelea kulingana na kosa unda mahakama yenye majaji walioenda shule na kazi hizo waziombe na kufanya mitihani futa cheo cha mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa hapo miaka Sita tu Merakani itasubiri
Kwa hii katiba ya kijinga ambayo tunaishi kwa huruma ya Rais hata aje Putin hatofanya chochote
 
So unataka kusema Tanzania iwe ni Jimbo la 53 la USA.
Kama ilivyo Mayotte ni Jimbo la Ufaransa ndani ya Africa kwa exchange ya raslimali.
Inawezekana ni hadi 90% ya watz wapige kura kuunga hili
 
Ipo wazi kwa mifumo yetu hii Africa ni ngumu kuendelea.
Cha msingi ni Bora wananchi tuwe na makuabaliano, tununue management ya kutuongoza na kutusimamia toka nje zilizoendelea.
Kesho tu tutafika jubelee ya miaka 100 tangu Uhuru kwa matatizo Yale Yale tangu Uhuru
 
Ipo wazi kwa mifumo yetu hii Africa ni ngumu kuendelea.
Cha msingi ni Bora wananchi tuwe na makuabaliano, tununue management ya kutuongoza na kutusimamia toka nje zilizoendelea.
Kesho tu tutafika jubelee ya miaka 100 tangu Uhuru kwa matatizo Yale Yale tangu Uhuru
Kabisa yani mkuu
 
Wala hata hatujihitaji hao wazungu waje kwetu ni kuamua tu taasisi nyeti kama Jeshi na nyinginezo, vunja Bunge, unda bunge la wasomi akisifia tu anyongwe, Tanga sheria Kali kiongozi yeyote akiwepo madarakani akivunja kanuni ale mvua ya miaka 10 na kuendelea kulingana na kosa unda mahakama yenye majaji walioenda shule na kazi hizo waziombe na kufanya mitihani futa cheo cha mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa hapo miaka Sita tu Merakani itasubiri
Wazo zuri lakini nani atayasimamia hayo.
Kumbuka sheria na maadili yetu si kitu mbele ya pesa.
Kama mama mzazi yupo tayari kuuza nyumba na shamba la urithi bila kujali kesho ya watoto nani atasimamia hayo.
 
Kufanya uchaguzi, kuwa na mifumo kama bunge,ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
Hakuna mabadiliko yeyeto hakuna mfumo unaombana mtawala kufanya kazi.Eti
Mtawala anapongezwa kwa kufanya majukumu yake,
 
Waarabu hawana tofaut sana na waafrika hata Tabia za uswahili wao ndio chanzo.
Walijua hawawezi kumanage raslimali zao walichofanya wamewaachia wazungu ndio wawafanyie kazi zao ikiwemo kusimamia uchumi.
Thus wao wameendelea wakiwa na raslimali chache kuliko sisi.
Nasi pia tutafute management ya kutusimamia nguzo zetu za uchumi wakiwa kama waendeshaji na Sio wamiliki hata Kama watalipwa mishahara mikubwa.
Zipo taasisi na makampuni ya kimataifa yanafanya kazi hizo.
Na sio kutegemea wawekezaji.
Mwekezaji ni mwizi tu Bora ya hata mkoloni kuliko mwekezaji.
Bora mkoloni kuliko mwekezaji.
 
Kufanya uchaguzi, kuwa na mifumo kama bunge,ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
Hakuna mabadiliko yeyeto hakuna mfumo unaombana mtawala kufanya kazi.Eti
Mtawala anapongezwa kwa kufanya majukumu yake,
Na mara kadhaa bunge limekuwa likishindwa kujadili mambo ya maana yaani utakuta siku nzima wanaleta azimio la kumpongeza rais.
 
Ni ukweli halisi kwamba sisi waafrika kujiongoza tumeshindwa na wala sio lazima uwe na degree kulijua hili..
 
Ni ukweli halisi kwamba sisi waafrika kujiongoza tumeshindwa na wala sio lazima uwe na degree kulijua hili..
Asante mkuu, kuna watu wanajifanya ma great thinker watajifanya wanapinga uhailisia huu
 
Na mara kadhaa bunge limekuwa likishindwa kujadili mambo ya maana yaani utakuta siku nzima wanaleta azimio la kumpongeza rais.
Hakuna bunge pale wote wale ni chaguo magufuli ni Sio chaguo la wananchi,uzuri watu washaona madhara ya ukosefu wa wapinzani bungeni, nadhani 2025 wamejifunza
 
Mara zote hua nasema bado hii nchi inahitaji kuendelea kutawaliwa au kuwekwa chini ya usimamizi ili tujifunze zaidi, mfano mdogo tuu angalia huyu kiparaza ameshindwa kufanya chochote kile cha kueleweka
 
Mara zote hua nasema bado hii nchi inahitaji kuendelea kutawaliwa au kuwekwa chini ya usimamizi ili tujifunze zaidi, mfano mdogo tuu angalia huyu kiparaza ameshindwa kufanya chochote kile cha kueleweka
Uko sahihi sana mkuu.
 
Unaifanya nchi kua subject wa nchi nyingine.

Hii nchi ni sovereignty haihitaji drama unazoziwaza kichwani.
 
Maendeleo hayana ubaguzi, kwakuwa ndani ya miaka zaidi ya 60 tumeshindwa kufanya mapinduzi kwenye sekta hata 1 niombe kwa heshima na taadhima tuiombe nchi ya Marekani itupatie vichwa 100 vitusaidie kutengeneza mfumo utakaoleta matokeo haraka na kutengeneza katiba mpya yenye tija.

Kwanza hao watu waje wazunguke nchi nzima waone rasilimali zilizopo kisha wakae chini waseme tukiwapa hii nchi kwa miaka 10 watatufikisha wapi, baada ya kutwambia tuwaruhusu waanze kazi.

Kwenye hivyo vichwa apatikane rais 1, waziri mkuu 1, speaker 1, mawaziri wa wizara zote, makatibu wakuu halafu sisi tujifunze toka kwao. Tuwape miaka 10 tu mtanishukuru.

In addition kipindi cha hiyo miaka 10 marekani na Tanzania tuingie makubaliano kuwa kwenda marekani itakuwa ni kama kwenda Zanzibar yaani ukiwa na kitambulisho cha NIDA tu unaenda na unaweza kufanya kazi, kusoma au kufanya biashara.

Naamini jambo hili litakuwa na tija sana na ndani ya miaka 10 kila Muafrika atatamani kuzamia Tanzania kutafuta maisha.
Hoja nzito sana hii Bitozo aifanyie kazi
 
Back
Top Bottom