Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nukuu isiyo rasmi:[emoji16][emoji16]alisemaje mwamba baada kuchapwa moja la jogoo?
fainali mbovu ilikuwa liverpool na spurs, mechi ya leo itakuwa kali
Hayo ni mambo ya zamani tunazungumza hali halisi ya sasaIntermilan walishabeba uefa Man City bado Sana....usikariri kijana unaweza usiamini kitakachotokea niliombea City amtoe Real na Sasa Napendelea Inter waongeze ndoo ya uefa kwenye kabati lao.
Ilikuwa mbovu vibaya mnoFainali mbovu ilikuwa liverpool vs Tottenham hii ndo funga kazi . Fainali ya leo lazima iwe poa labda kisa umeshavhagua mshindi kichwani kwako
Kakimbia mapemaDe Bruyne chaliii
Man City kakutana na Soka la kitaliano wanamkabia juu naye anahaha tuVipi huko
Ahahhaaaa,apigwe,Ili abaki underdogMan City kakutana na Soka la kitaliano wanamkabia juu naye anahaha tu
Waingereza sio wakuwaamin kwenye kaz hiz zakiumeGrealish apumzishwe hamna kitu
Aingie mahrezWaingereza sio wakuwaamin kwenye kaz hiz zakiume