Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
Watu wanakaba hatari.Grealish apumzishwe hamna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanakaba hatari.Grealish apumzishwe hamna kitu
Wahuni hawa mafia wa italy na city akienda matuta ameishaWatu wanakaba hatari.
Ngoja tuone.Usiku wa leo ni fainali ya uefa champions league kati ya manchester city dhidi ya inter milan kuanzia milango ya saa 4:00 usiku
Ninapata mashaka pengine leo tunaweza kushuhudia fainali mbovu zaidi katika historia kwasababu mbalimbali.
Mosi, man city wapo katika fomu ya hatari sana anatoa dozi nzito na hana huruma.
Pili, man city ana kikosi imara sana, anayeanza na ayekaa benchi wote sawa. Anaweza akaanza bernardo silva kwenye wing ya kulia huku Mahrez akianzia sub, akiingia lazma akusababishie madhara.
Tatu, ni mbinu za guardiola, amekuwa akibadilika kila uchao na mabadiliko hayo ya mbinu yamekuwa yakimpa matokeo mazuri.
Nne, uzee wa wachezaji wengi wa inter milan wakiingozwa na akina Dzeko, Mkhytarian, Brozovic na wengineo ambao itakuwa ngumu kwao kukimbizana na akina KDB na Gundogan muda wote.
Mwisho wa siku man city anaweza akashinda kuanzia goli 3 na kuendelea na kuondoa ladha ya fainali kama ile fainali mbovu ya spurs na liverpool mwaka 2019.
Hii ya leo bora kuchek waydad vs al ahlyFainali mbovu tulishashuhudia ni ile ya Liverpool na Tottenham,ila hii ni hot sana
inter wamekuprove wrongUsiku wa leo ni fainali ya uefa champions league kati ya manchester city dhidi ya inter milan kuanzia milango ya saa 4:00 usiku
Ninapata mashaka pengine leo tunaweza kushuhudia fainali mbovu zaidi katika historia kwasababu mbalimbali.
Mosi, man city wapo katika fomu ya hatari sana anatoa dozi nzito na hana huruma.
Pili, man city ana kikosi imara sana, anayeanza na ayekaa benchi wote sawa. Anaweza akaanza bernardo silva kwenye wing ya kulia huku Mahrez akianzia sub, akiingia lazma akusababishie madhara.
Tatu, ni mbinu za guardiola, amekuwa akibadilika kila uchao na mabadiliko hayo ya mbinu yamekuwa yakimpa matokeo mazuri.
Nne, uzee wa wachezaji wengi wa inter milan wakiingozwa na akina Dzeko, Mkhytarian, Brozovic na wengineo ambao itakuwa ngumu kwao kukimbizana na akina KDB na Gundogan muda wote.
Mwisho wa siku man city anaweza akashinda kuanzia goli 3 na kuendelea na kuondoa ladha ya fainali kama ile fainali mbovu ya spurs na liverpool mwaka 2019.